mbona mapokezi ya karamagi alipoenda bukoba vijijini yalikua makubwa sana?unajua umati kiasi gani ulimpokea chenge?unajua kwa rostam watu hadi wa kuzimia waliandaliwa?
Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia
unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za mwenyekiti wa ccm mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa ccm,mhusika mkuu au kwa chadema kata ya mwandiga?maana kata ya mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake