PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia


Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake

hata useme nini kwa chuki tunakujua usione wivu jikiteni kaskazini na nyie
 
Kwa viongozi walilofukuzwa, nadhani hakuna atakayevunja rekodi ya mapokezi ya Chenge.Lakini ukweli utabaki pale pale kuwa hata jambazi ikitokea amekufa lazima watapatikana wa kumlilia.

Kiongozi umenena ni kweli wakulia hawakosi na hawa wamama wengi ni waupande wa pili yani ccm kwani hata nguo zina jionesha ndugu
 
Msaliti Msafiri Msafiri Msafiliti msaliti msaliti huyoooo Msafiri Msafiri Msafiliti msaliti msaliti huyoooo ndio wimbo nasikiaga vijana wakiimba wa kitanzania waliochoka kuonewa na zittolization style of life
 
Waliojitokeza airport ni wenye akili zao tena wamejistahi, siwaoni wavuta bangi au wapiga debe stand hapo.
 
Angalia wadada waziri wamevaa baibui wapendeza wanaficha USO wao kwa mabango wakionyesha kuwa wapewa mabango washike tu msaliti apite
 
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.

usiwe unaongea kama umejinyea sasa unatype vitu harakaharaka kwa kuogopa nzi wanakusumbua ..Zitto pimbi tu chadema ..nyie mnayemuona ni bora si mumchukue na uwaziri mumpe ..maana jana misukule yenu mi 4 imetawanyika
 
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.

Zitto ndiye mtu pekee aliyekuwa amebeba matumaini ya chama cha mizigo! Baada ya kuwekwa pembeni, ndoto yao ya upinzani kufa mwaka huu imeyeyuka vibaya! Hakika Zitto amedhihirisha kwamba ni zaidi ya CCM!
 
Mtanisamehe, nimezaliwa KG mzee akiwa idara ya elimu huko, lakini hawa watu wa huko, akili ni ndogo sana, angalia wabeba mabango sura na akili zao zinafanana, funza wamewafunza kutojifunza , huwezi sema embe kwanza mwembe baadae kama shule ulipiga kwelikweli
 
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia

Mithali 4:23-Linda moyo wako kuliko chochote
Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Mithali 4:23-Linda moyo wako kuliko chochote
 
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia


Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Wewe ni kibaraka, utabaki na sumu zako hapo wakati wenzako wanasonga mbele kulitumikia taifa kwa unyenyekevu mkubwa
 
Shujaa wa usaliti na unafiki!!akakae na wanakigoma wake
watu wa KIGOMA ni wanafiki muda si mrefu zito akikosea kuwahutubia kwa jinsi wao vichwani mwao wanavyofikiri basi itakula kwake , mtu aliyejitahidi ku wa keep watu wa kigoma kimawazo ni dk. walid kabourou tu sijui kama zitto watamuelewa , wa kigoma wanataka zitto aseme mbowe , slaa ni watu wabaya na muda si mrefu nitafanya A- Z hapo watamshangilia kweli kweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom