watu bana...unakuta mtu nchi anayoishi obesity kwa sana ..kaona ki portable basi kadata
T shirt nyeupe msibani
Nimeipenda sana hii, lol
hao watu wapotezee tulio wengi tumeridhika na wengine huwa hatutembelei huko tuko jf nyumbani tunapata kila kitu.mkuu n00b, heshima sana mkuu. Watu wa aina yako wapo wachache sana mkuu. Tuna jitahidi kupiga [picha na vi-simu na vi-kamera vyetu, tunajitahidi kuweka picha hapa, lakini kuna watu ambao hawa-appreceate hata kidogo.
Mtu wetu eltoro amejitahidi kuweka picha hapa, lakini kuna watu humu wamekuja kuponda kwamba hazina quality......mpuuzi mmpja hivi.....mwingine kaja na advert ya blog eti watu wakaangalie picha huko........mods kama mnataka kunipiga ban, you are welcome.....lakini tabia ya kuingia jf na kubeza jitihada za watu binafsi (hawalipwi - hata max and co, hamuwalipi) ni upumbavu na u-kenge!!!!!
again, thanks n00b, thanks eltoro, thanks the finest na wengine wote.
nimeipenda sana hii...!
hawa ndo watanzania sasa....
Huyo mchuchu ndo nani humu JF?
Mwenye kujua hit me up on my PM
Halafu naona JFers wengi wanahitaji kuingia gym
Mbona kama kuna fujo hapo????????
Huyu jamaa wa katikati apunguze kuvaa maskafu hata sehemu zisizo stahili...