Hapa napenda tusahihishe kweli kadhaa kuhusu tunda linalodaiwa ni tendo la ndoa. Mungu tayari alishamuumba Adamu na Hawa na akamleta Hawa kwa Adamu akampa agizo "Zaeni mkaongezeke". Kabla ya hapo ni budi ujue jinsi Mungu alivyomleta Hawa duniani na kwa Adamu; soma Mwanzo 2:21 kuendelea
"Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya."
Kama Adamu ameshaletwe mwanamke na kupewa maagizo ya kuzaa, itakuwaje kweli tutafsiri kuwa tunda walilokula Adamu na Hawa ni tendo la ndoa ambalo tayari walikuwa wamehalalishiwa? Nadhani kuna tatizo kwenye uelewa wetu wa mambo na tafsiri zake. Jamani tunda hilo ni literal tunda, na wala si tendo la ndoa kama ambavyo nimesikia wengi wakitafsiri
This is kinda childish!
Mwali has bn doing this not once. Kunj kitu alipandisha hapa kuhusu Pope ambacho ni kejeli kwj imani za watu.
I dont see as to why mtu upandishe mtaFfeendaoni stuff ambayo unajua ni perpatration kwa wengine.
Hii leo Mbagala wanachoma makanisa jst coz ya kukosa uvumiliano wa dini... jst think of this.
Kurelate picha za mtandaoni na facts za Bible is unwise-fullstop.[/QUOTE]
Good point in Bold mkuu. Now that you have expressed your mind wacha na sisi tuseme. That is how tolerance goes.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifaDefinition /Allegory is a story that can interpreted to reveal a hidden meaning. Kwa lugha ya mtaani Adam amembanjua Eve kinoma.
Hey Nitonye, upo? za siku?
Umeona eh? yani mi nilicheka sana, nikashindwa hata kusema kilicho nichekesha!
Kama vitabu vinasema Eve alianza kula tunda kwanza. Kwa maana yako, nani alimbandua huyo Eve?Definition /Allegory is a story that can interpreted to reveal a hidden meaning. Kwa lugha ya mtaani Adam amembanjua Eve kinoma.
Definition /Allegory is a story that can interpreted to reveal a hidden meaning. Kwa lugha ya mtaani Adam amembanjua Eve kinoma.
Definition /Allegory is a story that can interpreted to reveal a hidden meaning. Kwa lugha ya mtaani Adam amembanjua Eve kinoma.
HahahahaDini mbali mbali zinasema kua Hawa alikula tunda,
na akamshawishi Adam kula tunda pia, Adam akala,
na baadae wakafukuzwa kotoka bustani la Eden
wakaja huku duniani.
Ilikua vigumu kwangu kuelewa kwanini "kula tunda"
kunaweza kusababisha watu kufukuzwa mbinguni
ili waje wateseke duniani.
Sasa picha ya tunda lenyewe imepatikana...
nimeelewa what a freak Eve must have been...
L & G, meet the PASTEQUIZZI from central america
hahahahaView attachment 67886