Picha ya tunda la Adam na Hawa


Ndio, hata mimi sijui kwanini wanadhani ni tendo la ndoa.
Na ndio maana nimesema huenda litakua ni tunda hili
This is a literal tunda na linaliwa (pun intended) Pastequizzi
 
 
Watu humu JF tuna analyse mambo ya ulimwengu wa roho kwa akili za kidunia.Hatuwezi kujua mambo ya roho bila kufunguliwa na roho mtakatifu. Tumtafute kwanza roho mtakatifu na yote haya yatakuwa bayana.
 
Swali dogo kwa.mwenye thread je tendo la ndoa hutufanya tujue mema na mabaya?
Tusipindishe ukweli. Eden ilikuwa duniani na walifukuzwa Eden wakabaki hapa duniani wakihangaika kama ilivyoandikwa Mwanaume utakula kwa jasho
 
Haya Matunda ya Sikuhizi haya *smh*Unaweza ukashika ukapata Mimba kah!Mx
 
This thread is an insult to any who believes.
Kwanini mnapenda kutafsiri kwa mizaha vitabu vya imani za wenzenu?
Mleta mada unachojaribu kupanda hakitaota.
Wakristo si wa hivyo, wala si wa hovyo.
Mimi umeniboa.
 
.............. tunda la Adam na Eva .......... bado naliangalia...
 
Mwali, you should leave out items which you cannot speak with much authority!
Btw, why is this being written?
 
Last edited by a moderator:
Definition /Allegory is a story that can interpreted to reveal a hidden meaning. Kwa lugha ya mtaani Adam amembanjua Eve kinoma.
Kama vitabu vinasema Eve alianza kula tunda kwanza. Kwa maana yako, nani alimbandua huyo Eve?
 
Hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…