johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Linapotokea tatizo wa kulaumiwa ni CCM wenye Ilani ya Uchaguzi na siyo mtu Binafsi
Kwa sasa CCM ni kama Adam pale Bustani ya Eden na utajiuliza wakati Eva anaingia mkataba na nyoka wa kula Tunda lililokatazwa yeye Alikuwa wapi?
Sasa CCM imeshakiri swala la Bandari liko kwenye Ilani yake so Prof Mbarawa aachwe
Usiku mlale unono!
Kwa sasa CCM ni kama Adam pale Bustani ya Eden na utajiuliza wakati Eva anaingia mkataba na nyoka wa kula Tunda lililokatazwa yeye Alikuwa wapi?
Sasa CCM imeshakiri swala la Bandari liko kwenye Ilani yake so Prof Mbarawa aachwe
Usiku mlale unono!