Picha ya tunda la Adam na Hawa

Picha ya tunda la Adam na Hawa

Mwali

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
7,012
Reaction score
5,613
Dini mbali mbali zinasema kua Hawa alikula tunda,
na akamshawishi Adam kula tunda pia, Adam akala,
na baadae wakafukuzwa kotoka bustani la Eden
wakaja huku duniani.

Ilikua vigumu kwangu kuelewa kwanini "kula tunda"
kunaweza kusababisha watu kufukuzwa mbinguni
ili waje wateseke duniani.

Sasa picha ya tunda lenyewe imepatikana...
nimeelewa what a freak Eve must have been...
L & G, meet the PASTEQUIZZI from central america
hahahaha
noname.jpg
 
mbona tunda lenyewe lile halipo hicho ni kisu cha kukatia hilo tunda
 
Mwali Eric52 Nimewamiss sana..aje aje bi dada naona umekuja kivingine..kitu bolibo naona bibi anae lichuma tundi pengo zote njee!
 
Last edited by a moderator:
Definition /Allegory is a story that can interpreted to reveal a hidden meaning. Kwa lugha ya mtaani Adam amembanjua Eve kinoma.
 
.. now i believe , eyes are the only source of what we would think of doing !
 
Dini mbali mbali zinasema kua Hawa alikula tunda,
na akamshawishi Adam kula tunda pia, Adam akala,
na baadae wakafukuzwa kotoka bustani la Eden
wakaja huku duniani.

Ilikua vigumu kwangu kuelewa kwanini "kula tunda"
kunaweza kusababisha watu kufukuzwa mbinguni
ili waje wateseke duniani.

Sasa picha ya tunda lenyewe imepatikana...
nimeelewa what a freak Eve must have been...
L & G, meet the PASTEQUIZZI from central america
hahahahaView attachment 67886
Mti unaotoa hilo tunda anaufahamu mheshimiwa TIQO, ameuweka kwenye avatar yake.
 
Huyu mama shabiki ona anavyochekelea tunda!
 
Dini mbali mbali zinasema kua Hawa alikula tunda,
na akamshawishi Adam kula tunda pia, Adam akala,
na baadae wakafukuzwa kotoka bustani la Eden
wakaja huku duniani.

Ilikua vigumu kwangu kuelewa kwanini "kula tunda"
kunaweza kusababisha watu kufukuzwa mbinguni
ili waje wateseke duniani.

Sasa picha ya tunda lenyewe imepatikana...
nimeelewa what a freak Eve must have been...
L & G, meet the PASTEQUIZZI from central america
hahahahaView attachment 67886

Siyo busara hata kidogo kupindisha ukweli kwa mgongo wa vitabu vya dini. Tuambie ni kitabu gani hicho kinachosema ttunda ni hilo na kwamba kabla Adam na Eve walikuwa mbinguni? Ni wapi pia umejifunza kwamba Bustani ya Edeni iko central America.
 
huko kwao hakuna haja ya dilido! lol, Mwali u have made my day!
 
Last edited by a moderator:
Siyo busara hata kidogo kupindisha ukweli kwa mgongo wa vitabu vya dini. Tuambie ni kitabu gani hicho kinachosema ttunda ni hilo na kwamba kabla Adam na Eve walikuwa mbinguni? Ni wapi pia umejifunza kwamba Bustani ya Edeni iko central America.
be a great thinker kidogo, utaielewa maana yake!
 
Hapa napenda tusahihishe kweli kadhaa kuhusu tunda linalodaiwa ni tendo la ndoa. Mungu tayari alishamuumba Adamu na Hawa na akamleta Hawa kwa Adamu akampa agizo "Zaeni mkaongezeke". Kabla ya hapo ni budi ujue jinsi Mungu alivyomleta Hawa duniani na kwa Adamu; soma Mwanzo 2:21 kuendelea

"Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.
"


Kama Adamu ameshaletwe mwanamke na kupewa maagizo ya kuzaa, itakuwaje kweli tutafsiri kuwa tunda walilokula Adamu na Hawa ni tendo la ndoa ambalo tayari walikuwa wamehalalishiwa? Nadhani kuna tatizo kwenye uelewa wetu wa mambo na tafsiri zake. Jamani tunda hilo ni literal tunda, na wala si tendo la ndoa kama ambavyo nimesikia wengi wakitafsiri
 
Hicho ni kisu, Adamu alipewa tunda hakutoa tunda, sasa lile tunda alilopewa ndio nashangaa silioni hapo mwali plz naomba unisaidie
Hey Nitonye, upo? za siku?
 
This is kinda childish!
Mwali has bn doing this not once. Kuna stuff alipandisha hapa kuhusu Pope ambacho ni kejeli kwa imani za watu...i told her in daylght!

I dont see as to why mtu upandishe mtandaoni stuff ambayo unajua ni perpatration kwa wengine.

Hii leo Mbagala wanachoma makanisa jst coz ya kukosa uvumiliano wa dini... jst think of this.

Kurelate picha za mtandaoni na facts za Bible is unwise-fullstop.
 
Back
Top Bottom