Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,012
- 5,613
Dini mbali mbali zinasema kua Hawa alikula tunda,
na akamshawishi Adam kula tunda pia, Adam akala,
na baadae wakafukuzwa kotoka bustani la Eden
wakaja huku duniani.
Ilikua vigumu kwangu kuelewa kwanini "kula tunda"
kunaweza kusababisha watu kufukuzwa mbinguni
ili waje wateseke duniani.
Sasa picha ya tunda lenyewe imepatikana...
nimeelewa what a freak Eve must have been...
L & G, meet the PASTEQUIZZI from central america
hahahaha
na akamshawishi Adam kula tunda pia, Adam akala,
na baadae wakafukuzwa kotoka bustani la Eden
wakaja huku duniani.
Ilikua vigumu kwangu kuelewa kwanini "kula tunda"
kunaweza kusababisha watu kufukuzwa mbinguni
ili waje wateseke duniani.
Sasa picha ya tunda lenyewe imepatikana...
nimeelewa what a freak Eve must have been...
L & G, meet the PASTEQUIZZI from central america
hahahaha