Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,798
- 218,444
Huyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
HahahaaaaaaHuyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere , akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa , huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM , wanaofahamika kama GreenGuard .
View attachment 2903087
Sijui ni chawa wa Mama au ni kunguni wa Mama!!! God for bid...HahHa kwani Steve ni Nani Huko CCM
Tayari tumepata KIGOGO mpya ndani chama 😆Huyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
View attachment 2903087
Hongera sanaTayari tumepata KIGOGO mpya ndani chama 😆
Kigogo huku kwetu uswahilini ni kinyesi cha binadamu.Hongera sana
Una uhzkika kuwa si mama yake?Huyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
View attachment 2903087
🤣🤣🤣Sijui ni chawa wa Mama au ni kunguni wa Mama!!! God for bid...
Msiba ni wa kada wa ccm!Huyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
View attachment 2903087
Aligombea Ubunge na Jesca 😂😂Duh kutoka ukuwad mpaka mtu mzito serikalin
Ova
Huyo mgambo mwenyewe ni me au ke? Nimeshindwa kung'amua, ha ha ha ha ha aaaaaaHuyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
View attachment 2903087
Kwani tumebisha ?Msiba ni wa kada wa ccm!
Hahahaaaaaa
Ccm kwa vituko ni zaidi ya Mr Bin
Hata Steve ana ulinzi??? Amazing