MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,255
- 22,321
Leo mtandaoni nimeona kumepostiwa picha za jengo jipya la kimataifa la kuabudia (International worship centre) huko jimbo la Ikwa Ibom, Nigeria. Ni jengo linalotajwa kugharimu zaidi ya naira bilioni 20. Kwangu mimi huu ni uwendawazimu.
Afrika inahitaji viwanda, vyuo vya ufundi, hospitali na mambo mengine yanayoleta thamani kwenye maisha. Makanisa na misikiti tayari iko mingi sana na inatosha. Nigeria ni mfano mmojawapo wa nchi zinazokosa vipaumbele vya taifa. Ni nchi tajiri yenye hazina kubwa ya mafuta ila watu wake ni maskini kupindukia.
Afrika inahitaji viwanda, vyuo vya ufundi, hospitali na mambo mengine yanayoleta thamani kwenye maisha. Makanisa na misikiti tayari iko mingi sana na inatosha. Nigeria ni mfano mmojawapo wa nchi zinazokosa vipaumbele vya taifa. Ni nchi tajiri yenye hazina kubwa ya mafuta ila watu wake ni maskini kupindukia.