Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 476
- 473
Siku moja bila kujua utapiga picha ambayo itakuja kutumika kwenye msiba wako.
Sis tutaitumia hiyo hiyo uliyoiweka dpKufa ni kawaida sana, mfano nikifa sasa najua kabisa ni picha gani wataitumia , na ni members gani humu wataripoti nijitwalie beji ya R.I.P.
Uko sahihi 100%Siku moja bila kujua utapiga picha ambayo itakuja kutumika kwenye msiba wako.
Je Na Wale Wanyama Tunaochinja Na Kuwala,,,Wadudu,,, Na Wengine Wafao Wao Inakuaje Kwao...??Au Ni Ubinafsi Uliokithiri Sisi Wanaadamu Na Kujipa Umuhimu Ambao Unaweza Kuta Hata Hatuna....Unazaliwa unajaliwa kuishi miaka 70 au 80, ila unapokufa inakuwa the end inawezapita hata miaka milioni 2 au ma bilioni ya miaka, sasa huwa najiuliza ikiwa kama tunazaliwa na kuishi miaka hiyo alafu tukifa inakuwa ndo for eternity, je? Maisha yana thamani gani ikiwa tutakufa na kupotea milele?, basi hapo nawaza kuwa inawezekana kifo ni njia au ufunguo wa maisha mengine mazuri pengine zaidi ya haya tunayoishi hivi sasa hapa duniani... Ninaamini sasa kuwa kifo siyo ukomo wa maisha ya mtu milele , bali ni ukomo tu wa maisha ya yule mtu hapa duniani lakini kuna kingine kinachotusubiri upande wa pili either ni kizuri au kibaya tutakijua tukishakufa
Unapomchinja kuku na kumtafuna,Unazaliwa unajaliwa kuishi miaka 70 au 80, ila unapokufa inakuwa the end inawezapita hata miaka milioni 2 au ma bilioni ya miaka, sasa huwa najiuliza ikiwa kama tunazaliwa na kuishi miaka hiyo alafu tukifa inakuwa ndo for eternity, je? Maisha yana thamani gani ikiwa tutakufa na kupotea milele?, basi hapo nawaza kuwa inawezekana kifo ni njia au ufunguo wa maisha mengine mazuri pengine zaidi ya haya tunayoishi hivi sasa hapa duniani... Ninaamini sasa kuwa kifo siyo ukomo wa maisha ya mtu milele , bali ni ukomo tu wa maisha ya yule mtu hapa duniani lakini kuna kingine kinachotusubiri upande wa pili either ni kizuri au kibaya tutakijua tukishakufa
😀😀 watu humu wanashindana kupata Jf expert Member, Platnum Member n.k ila sio hii ya R.I.P. 😁Kufa ni kawaida sana, mfano nikifa sasa najua kabisa ni picha gani wataitumia , na ni members gani humu wataripoti nijitwalie beji ya R.I.P.
Halafu wana ndoto za kutaka kwenda mbinguni 😀😀😀 watu humu wanashindana kupata Jf expert Member, Platnum Member n.k ila sio hii ya R.I.P. 😁
Haya mambo ya kukariri.Siku moja bila kujua utapiga picha ambayo itakuja kutumika kwenye msiba wako.
Je Na Wale Wanyama Tunaochinja Na Kuwala,,,Wadudu,,, Na Wengine Wafao Wao Inakuaje Kwao...??Au Ni Ubinafsi Uliokithiri Sisi Wanaadamu Na Kujipa Umuhimu Ambao Unaweza Kuta Hata Hatuna....
Pengine katika maisha yao ya awali walishawahi kuwa binadamu kama sisi, who knows? Ndiyo maana huwa ninaamini katika kitu kinaitwa Reincarnation, pengine matendo yako hapa duniani katika uhai huu yanaweza kuathiri maisha yako yajayo baada ya kifo, kwa kuwa naamini kifo si mwisho bali ni transitionJe Na Wale Wanyama Tunaochinja Na Kuwala,,,Wadudu,,, Na Wengine Wafao Wao Inakuaje Kwao...??Au Ni Ubinafsi Uliokithiri Sisi Wanaadamu Na Kujipa Umuhimu Ambao Unaweza Kuta Hata Hatuna....
Who knows? Pengine anaweza kuishia kuwa kiumbe kingine tofauti na kuku, bado kuna fumbo kubwa kwenye the other sideUnapomchinja kuku na kumtafuna,
Unahisi anaenda kuishi maisha mengine?
Haipo hiyo jomba.Who knows? Pengine anaweza kuishia kuwa kiumbe kingine tofauti na kuku, bado kuna fumbo kubwa kwenye the other side