Picha ya Aziz K na Skudu Makudubela

Vincenzo Jr

JF-Expert Member
Sep 23, 2020
12,138
25,392
Picha ya aziz k na skudu makudubela
20230924_232325.jpg

20230924_232322.jpg
Screenshot_20230925-112155.jpg


Mpiga picha ni huyo alipiga goti kapiga picha kalii sana yaani picha imetoka fresh kama imepigwa marekani
20230924_232333.jpg
 
Ni picha nzuri sana kwakweli. Zamani nilikuwa natamani kufanya kazi hii ya kupiga picha kwa ajili ya media, baada ya kutotimiza ndoto hizo bado ninajaribu kuipamba nyumba yangu kwa picha nzuri nzuri ukutani.

Tukiachana na hilo. Picha ya juu inamwonyesha Skudu akiwa na macho ya udadisi, ujanja ujanja, na sharp sana kama ya nyoka. Hata alivyoinua kichwa vile ni typically snake-style. Ndo maana jamaa mjanja mjanja sana.
 
Kabisa kaka picha kalii sana jamaa kaitendea haki sana yaani saana
Ni picha nzuri sana kwakweli. Zamani nilikuwa natamani kufanya kazi hii ya kupiga picha kwa ajili ya media, baada ya kutotimiza ndoto hizo bado ninajaribu kuipamba nyumba yangu kwa picha nzuri nzuri ukutani.

Tukiachana na hilo. Picha ya juu inamwonyesha Skudu akiwa na macho ya udadisi, ujanja ujanja, na sharp sana kama ya nyoka. Hata alivyoinua kichwa vile ni typically snake-style. Ndo maana jamaa mjanja mjanja sana.
 
Kaka haya ni majina ya utani tu ndo maana sisi yanga ni utopolo na simba ni makolo haya ni majina ya utani tu
Sioni kama ni UUNGWANA Kuitana Majina ya Kolo au Uto kwenye Jukwaa Lenye Great thinkers kama hili.

Tunatiana AIBU na Mambo ya kitoto kama hayo.

Mnachafua Hadhi ya Jamii Forum kwa Akili za kitoto
 
Ni picha nzuri sana kwakweli. Zamani nilikuwa natamani kufanya kazi hii ya kupiga picha kwa ajili ya media, baada ya kutotimiza ndoto hizo bado ninajaribu kuipamba nyumba yangu kwa picha nzuri nzuri ukutani.

Tukiachana na hilo. Picha ya juu inamwonyesha Skudu akiwa na macho ya udadisi, ujanja ujanja, na sharp sana kama ya nyoka. Hata alivyoinua kichwa vile ni typically snake-style. Ndo maana jamaa mjanja mjanja sana.
Mkuu kwanini ishindikane bado una muda
 
Back
Top Bottom