GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,596
- 108,967
Kudadadeki na Wapiga Miba Wakuu ( Warogaji ) Wawili ( GENTAMYCINE nawahifadhi ) bado mnao hapo hapo na huyu Skudu wenu mtamkataa Wenyewe.
Na Bingwa wao ( anayewapeleka kwa Mganga wake Hatari ) ambaye pia ni Kaka yake yuko Pre Season Uturuki na nina uhakika akirejea tu nchini kama kawaida watamfuata na Skudu ataenda Kushughulikiwa Kimkakati Mikoa mitatu ya Tanga, Morogoro na Kigoma kama alivyoshughulikiwa Mchezaji Stephane Aziz K ambaye kila mara alikuwa akilalamika Kuumwa na Goti lake kila akivaa Jezi ya Yanga SC ila akivaa tu Nguo zake za Nyumbani Goti halimuumi kabisa.
Ninamuonea mno tu Huruma Skudu.
Na Bingwa wao ( anayewapeleka kwa Mganga wake Hatari ) ambaye pia ni Kaka yake yuko Pre Season Uturuki na nina uhakika akirejea tu nchini kama kawaida watamfuata na Skudu ataenda Kushughulikiwa Kimkakati Mikoa mitatu ya Tanga, Morogoro na Kigoma kama alivyoshughulikiwa Mchezaji Stephane Aziz K ambaye kila mara alikuwa akilalamika Kuumwa na Goti lake kila akivaa Jezi ya Yanga SC ila akivaa tu Nguo zake za Nyumbani Goti halimuumi kabisa.
Ninamuonea mno tu Huruma Skudu.