Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

Sipingani na wewe mkuu, ila nadhani yote yanayotutokea watu weusi ni mipango ya yake.. Kama anajua kila kitu chako hata kabla hujazaliwa, basi wakati anafanya uumbaji wa mtu mweusi alipanga kuwa ayapitie yote yanayomtokea...
Inawezekana Mkuu,lakini hayo ni mawazo na fikra zangu tu,vile vile ukumbuke Mungu haikotrool Nafsi ya binadamu,yaani unalipwa kutokana na unachokifanya,mabaya motoni mazuri peponi..

Ninachofikiria mimi watu weusi tusome kwa wenzetu wanao tunyanyasa,imefika wakati na sisi tuwanyanyase kama wanavyotunyanyasa na kutuonea...

Cha kufanya tujifunze,tuwafunze watoto wetu na kizazi kijacho kuchukia(hate),tukikijifunza kuchukia hakuna mtu atakae mnyanyasa mtu mweusi "We have to learn how to hate"...,watu weusi tunapenda kunyeyekea na kusifia watu wasio weusi tukiacha hiyo tabia,tukianza kujielewa hamna atakae tunyanyasa...
 
Usijitetee inaonekana dini imekupofua sana kiasi ya kwamba umeshindwa hata kuficha hisia zako
Hahahaha Mkuu,huo ndio ukweli,badala ya kuukataa inabidi waarfika tujifunze katika huo ukweli,ili tuone wapi tumekosea na tunazidi kukosea ili tujirekebishe na kuwarekebisha watoto wetu na kizazi kijacho...

Ukikaa hapo na kuanza kunihukumu(Judge) kwa hisa zako haitasaidia chochote,haitokusaidia wewe wala mimi,wala watoto...
Mimi sio mtu wa dini,dini ni upumbavu fulani umetumika kutubadilisha akili,

Wazungu wamekuja na YESU,warabu wamekuja MOHAMAD lengo ndio lile lile kukuchanganya akili mtu kama wewe,Afadhali hata Uislam Mtume wetu hatumjui ana sura gani,au ana rangi gani(kuna warabu weusi),Lakini kwa wenzetu imewekwa wazi kabisa kuwa Mungu ni MZUNGU....
 
Mbona na watawala weusi wanayafanya haya haya mfano Lisu, Ben etc ni kitu hicho hicho kwa mtindo mwingine. polisi kila siku wanafia mikonni mwao
 
Ila kuna wale watakuja na kubisha haya, na hata ya Wazungu walivyowafanyia mababu na mabibi zetu kale..
 
Wazungu wamewatesa sana Watu weusi wa Africa,Warabu wafika mwanzo Katika bara Afrika kabla Wazungu,Ukienda nchi za Afrika Magharibi sehemu nyingi watu wake ni Waislam dini iliyopelekwa na Warabu,cha kushangaza nchi hizo hazikutawaliwa na Warabu,Kama umeangalia movie ya "Kunta Kinte" watumwa wote walikotoka Afrika Magharibi kwenda Marekani na Caribbean walikuwa waislam

Nchi ya "Musa Bin Baik" (Mozambique) nchi hii watu wake walikuwa waislam dini iliyopelekwa na Warabu,Mreno alipigana na Warabu nchi akaichukua yeye,kwa vile Wareno walikuwa hawezi kutamka jina la "Musa Bin Baik" wakawa wanasema Mozambigue

Nchi alizokwenda Mwarabu wakati huo hakwenda kwa Kutawala,wao walikwenda kutangaza dini na kufanya Biashara,na ndio maana utakuta nchi nyingi zenye waislamu wengi hazikutawaliwa na mwarabu,tafauti na Wazungu,hawa watu walitawala nchi,waliwafanya wenyeji wa nchi hizo watumwa,waliwauwa wenyeji ,na nchi kuzifanya zao..

Marekani,Canada,Autralia nk,,Wenyeji wa nchi hizi wameuliwa na Wazungu,kuna makabila yametokomezwa kabisa hayako tena duniani,katika hizi nchi

Katika Uislam kuna sahaba(saint) anaitwa Bilal,Bilal alikuwa mtumwa,mtu mweusi kutoka Ethiopia,alinunuliwa na Mtume akawa huru,ni mtu wa mwanzo kuadhini kuwaita waislam kusali,ni mtu wa mwanzo Mtume kumbashiria Pepo...

Ilikuwa tabu kwa warabu kuwafanyia unyama watu weusi kwasababu ya imani yao ya kidini,bila shaka kuna warabu wamewafanyia unyama watu weusi lakini huwezi kufanananisha na Wazungu
Kwenye unconscious mind ya MTU mweusi kuna shida sana,ukimsema mwarabu vibaya,wa islam weusi watatoa povu la kutisha,
Ukimsema mzungu /Israel vibaya wakristo weusi watatoa povu vibaya sana,
 
hapo hakuna warabu mkui wote ni wazungu warabu hawajafanya hayo ya mateso warabu ndo waloleta dini ya islam aftica walikuja kama kufikisha ujumbe walofanya hayo ni wazungu hata picha na majina yao yanajieleza
 
Utumwa wa Mwarabu ulikuwa mbaya sana ulihusisha mtumwa kuasiwa na ukatili mwingine wa kutisha.Kuna ambao tuko nao lakini hawatuoni kama ni binaadam ukitaka kujua binti wao ampende mweusi wanaweza hata kumuua
 
Kwenye unconscious mind ya MTU mweusi kuna shida sana,ukimsema mwarabu vibaya,wa islam weusi watatoa povu la kutisha,
Ukimsema mzungu /Israel vibaya wakristo weusi watatoa povu vibaya sana,
Issue hapa siyo kumsema mtu au jamii flan vibaya...issue hapa ni what are the facts...!?

Kwangu mie..kwa mujibu wa picha....na historia....mbalimbali...wazungu ndiyo watu katili sana hadi sasa...yaaan katika karne hii...bado wazungu ndyio watu waovu zaidi.

Mifano iko mingi sana...kwanza picha nyingi sana za mwafrika kuteswa...ni za kupigwa..yaan photo. Na wote wanaoonekana ni wazungu wakiwatesa waafrika. Kwa upande mwingine picha nyingi za mwarabu anamtesa mwafrika ni za kuchora. Mie binafsi hii inaniambia mambo mengi sana.

La pili, wazungu wazuri sana katika propaganda. Mwaka 2002/03 dunia nzima iliaminishwa kwamba sadam ni hatari na ana silaha za maangamizi...anastahili kupigwa. Miaka 10 baadae hao hao wakasema tulikosea....sadam hakuwa na silaha WMD.

Tizama sinema zote....za hollyword...gaidi ni mwarabu mstaarabu ni mzungu/mmarekani....dunia nzima watu wanaamini hivo...si kwamba waarabu ni wema sana....just like us....african...si wote wema....lakin je ukweli ni upi?! Mabepari wanapambana kudistabilize middle east....na wale wakijitetea.....wanaitwa magaidi.

Facts kwangu zinasupport assumption kwamba mwarabu hakumtesa mwafrika kwa kiwango kinachosemwa.....ingawa walikuwapo baadhi waovu kama tulivyo sisi katika jamii zetu za sasa.
 
Ebu kuweni na akili za kikubwa wakuu..waarabu hawakutesa babu zetu muwe mnaelewa basi. Picha za kuchorwa na original ni zipi utaziamini? Hata mtoto wa darasa la pili hawezi akaamini picha za kuchorwa..
 
Issue hapa siyo kumsema mtu au jamii flan vibaya...issue hapa ni what are the facts...!?

Kwangu mie..kwa mujibu wa picha....na historia....mbalimbali...wazungu ndiyo watu katili sana hadi sasa...yaaan katika karne hii...bado wazungu ndyio watu waovu zaidi.

Mifano iko mingi sana...kwanza picha nyingi sana za mwafrika kuteswa...ni za kupigwa..yaan photo. Na wote wanaoonekana ni wazungu wakiwatesa waafrika. Kwa upande mwingine picha nyingi za mwarabu anamtesa mwafrika ni za kuchora. Mie binafsi hii inaniambia mambo mengi sana.

La pili, wazungu wazuri sana katika propaganda. Mwaka 2002/03 dunia nzima iliaminishwa kwamba sadam ni hatari na ana silaha za maangamizi...anastahili kupigwa. Miaka 10 baadae hao hao wakasema tulikosea....sadam hakuwa na silaha WMD.

Tizama sinema zote....za hollyword...gaidi ni mwarabu mstaarabu ni mzungu/mmarekani....dunia nzima watu wanaamini hivo...si kwamba waarabu ni wema sana....just like us....african...si wote wema....lakin je ukweli ni upi?! Mabepari wanapambana kudistabilize middle east....na wale wakijitetea.....wanaitwa magaidi.

Facts kwangu zinasupport assumption kwamba mwarabu hakumtesa mwafrika kwa kiwango kinachosemwa.....ingawa walikuwapo baadhi waovu kama tulivyo sisi katika jamii zetu za sasa.
Chukua desa hilo
tapatalk_1531233362830.jpeg
tapatalk_1531233378126.jpeg
 
Hawa ni wale waloleta ukiristo na kutuletea mungu mwenye ngozi nyeupe na macho ya buluu. Bado tunasubiri picha za waarabu lakini hatutaki za kuchora
Mkuu kumbe hata turoge, tutembee kichwa chini miguu juu tutaendelea waafrika kuwa mbwa wa wazungu na waarabu daima
Maana hawa jamaa wameshaharibu nature yetu yote utamkuta mmasai anaitwa paschal ole ng'ada anazaa mtoto anaitwa Cristiano paschal ng'aida kizazi cha tatu au cha nne kinakua totally slave na kwa waislam ni utumbo huohuo
 
Well said Mkuu. Period.
Issue hapa siyo kumsema mtu au jamii flan vibaya...issue hapa ni what are the facts...!?

Kwangu mie..kwa mujibu wa picha....na historia....mbalimbali...wazungu ndiyo watu katili sana hadi sasa...yaaan katika karne hii...bado wazungu ndyio watu waovu zaidi.

Mifano iko mingi sana...kwanza picha nyingi sana za mwafrika kuteswa...ni za kupigwa..yaan photo. Na wote wanaoonekana ni wazungu wakiwatesa waafrika. Kwa upande mwingine picha nyingi za mwarabu anamtesa mwafrika ni za kuchora. Mie binafsi hii inaniambia mambo mengi sana.

La pili, wazungu wazuri sana katika propaganda. Mwaka 2002/03 dunia nzima iliaminishwa kwamba sadam ni hatari na ana silaha za maangamizi...anastahili kupigwa. Miaka 10 baadae hao hao wakasema tulikosea....sadam hakuwa na silaha WMD.

Tizama sinema zote....za hollyword...gaidi ni mwarabu mstaarabu ni mzungu/mmarekani....dunia nzima watu wanaamini hivo...si kwamba waarabu ni wema sana....just like us....african...si wote wema....lakin je ukweli ni upi?! Mabepari wanapambana kudistabilize middle east....na wale wakijitetea.....wanaitwa magaidi.

Facts kwangu zinasupport assumption kwamba mwarabu hakumtesa mwafrika kwa kiwango kinachosemwa.....ingawa walikuwapo baadhi waovu kama tulivyo sisi katika jamii zetu za sasa.
 
Hakuna utumwa au ukoloni mzuri, kote MTU anapoteza Uhuru wake ambao in haki yake ya muhimu.Kuona picha inategemea kamera ilivumbuliwa lini.Simulizi za utumwa Zanzibar zinaeleza kuna wajawazito walipasuliwa matumbo ili tu mke wa Bwana aone mtoto anakaaje tumboni.Simulizi pia zinaeleza watumwa waliopelekwa Uarabuni waliasiwa ndio maana hamna vizazi vyao huko.Tusitetee MTU hawa wote walitutesa, Haya yote kwasasa hayana maana sana, tugange yajayo nani kwa sasa ana mheshimu na kumkubali mweusi kama binaadamu sawa? nani kuoa au kuolewa na mweusi ni kufuru.Msilizeni Julius Malema huko South Afrika kasema nini juzi juzi.MTU mweusi asijisahau kwani bado anaendelea kuhujumiwa
 
Back
Top Bottom