Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

Hivi haya majamaa yalikuwa yamerogwa na nani mijitu ina nguvu halafu imefungiwa kama kondoo? Naona kama kulikuwa na tatizo vichwani mwao
Kwani we mbona askari wenu wa sasa tu wakikuletea noma hufurukuti. Ina maana huna mbio au nguvu?
 
Kuishi nao ni mpaka uwe dada wa kazi??

Kusoma nao, ujirani je?

Mapenzi na mwarabu anaanzaje hata kunigusa unacheza wewe

Siwapendi kama na wewe ni mwarabu ujue tu sikupendeni mxiiiiieeeeewww
Kwa povu hili ni wazi kabisa una chuki binafsi na wewe ni racist,inaonekana kabisa kuna kisa umekiunganisha ndio maana unacomment kama mtoto wa darasa la pili,wakubwa tumeshakuelewa.
 
Mungu aliwapa waafrica kutawala lakini hao waafrica walimkataa na kumhasi Mungu
ghadhabu ya Mungu ikawa juu ya mwafrica.
Mungu akawatapanya Kila pande na pembe ya Dunia..
mwafrica akaanza kujidharau na kujiona bado ni MTU duniiiii
Mungu anakusudi jema na mwafrica lakini ttz mwafrica ana ttz&kusudi bovu na Mungu.
ghadhabu na hasira ya MUNGU kamwe haitaondoka kwa mwafrica till atakapotubia laana yake ambayo aliibeba Karne na Karne....

Kwa hiyo Mungu alikuwa hajui kuwa Mwafrika ana matatizo?
 
Kwa hiyo Mungu alikuwa hajui kuwa Mwafrika ana matatizo?
Mkuuukichukulia kidini,hasa dini ya Kiislam inamini kuwa Mungu anajua kabla hakijatokea,jaani kabla hujazaliwa tayari Mungu anajua vipi utaishi,vipi utakufa,hizo ndio imani za Kiisalm,vile vile katika kitabu cha Kuran,Mungu anasema katika suratil Hijra aya ya 15,kuwa kamuumba mtuwa mwanzo kwa udongo mweusi wa ufinyazi,kwahiyo mtu wa mwanzo dunia ni mtu mweusi

Tuje kwenye Mada,kwanza unatakiwa ujue ustaarabu wa mwanzo umeanzia Misri,halafu ndio ukatapakaa,Rome,Greece nk,Sasa kwanini mtu mweusi anapata tabu zote hizi zakuchukuliwa kama watumwa nk..

Katika tafiti zangu naona Mungu ana sababu zake za kufanya Mtu mweusi yamkute yote hayo,...Mkuu ,sio zamani sana labda miaka 10-20 iliyopita,wazungu walikuwa wanawacheka waafrika kwa kuwa na midomo mikubwa,wanawake wa kiafrika wanamatako makubwa,mchezo wa mziki wa kukatika viuono kama wanavyocheza wanawake wa kiafrika ilikuwa ni "disgusting" aibu..

Mkuu,hizi sasa Kila mzungu mwanamke anafanya "Plastic surgery" operation za kufanya Midomo yao iwe kama ya kiafrika,wanakuzisha matako kwa operation,wanacheza kama wanavyocheza wafrika viuno wenywe wanaita "Twerk"..
Nchi ya Iran,Venezuela wanaongoza kwa kufanya operation za kubadilisha puwa zao nk

Ni mapinduzi makubwa,wazungu na watu wengine wasiokuwa wafrika wanaanza kuona uzuri wa mtu wa mwanzo aliemuumba Mungu,yaani Muafrika,Mungu hafanyi makosa,wafrika wakianza kujijua watatawala Dunia na hicho ndio ambacho Mzungu anakiogopa...!!tafakar,i napita tu
 
Hivi haya majamaa yalikuwa yamerogwa na nani mijitu ina nguvu halafu imefungiwa kama kondoo? Naona kama kulikuwa na tatizo vichwani mwao
Unachezea manati ya mzungu haijalishi una maguvu kiais gani? Africans had muscles but Arabs and White men's had power.
 
Tatizo ni Waafrika wenyewe
Mlishindwaje kuwavamia wakati mnaongea lugha wasiyoijua?
 
YAN WAAFRIKA SIJUI NANI ALITULAANI.WATU WANAKUJA NA JAHAZI WANATEKA WATU NA KUONDOKA NAO.
Tena wao walikuwa wachache kabisa,hivi mababu zetu walishindwa nini kuungana na kuwauwa wote hao???
Walikua bogus na ubush
 
Unaona sasa,kumbe majibu unayo kabisa,
umejuaje kua anatetea waarabu kwa misingi ya dini? bila shaka wewe ndio unatetea upande fulani kwa misingi ya dini ndio maana ukahisi hivyo.
We unaona nimeegemea upande wowote hapa kama huyo jamaa yako
 
Mkuu sitetei Warabu,wala sitoi Comments zangu kutoka na hisia zangu,comments zangu nazitoa kutokana na tafiti na ukweli wa mambo yalivyo,

Iangalie Dunia ilivyo,anzia Afrika kusini,Canada,Marekani,Autralia halafu soma historia ya vipi Mzungu walifika huko,nini walifanya mpaka wakaweza kuanzisha maisha huko,je wenyeji wa nchi hizo wanaishi vipi hivi sasa nk

Jiulize fanya utafiti vipi watu weusi wamefika,Brazil,Marekani, visiwa vya Caribbean na sehemu nyengine Duniani,soma magazeti peruzi kwenye Internet angalia vipi mtu mweusi anavyoadhibiwa kwa mateso tafauti katika nchi za watu weupe....

Halafu angalia nchi za Kiarabu anzia saudi,Oman nchi za Emirates angalia warabuweusi wanaishi vipi na warabu weupe,Mkuu kuna tafauti kubwa sana vipi wamerekani weusi wanaishi na ndugu zao weupe na warabu weusi wanaishi na ndugu zao weupe
Usijitetee inaonekana dini imekupofua sana kiasi ya kwamba umeshindwa hata kuficha hisia zako
 
Siku hizi mbona watu wanajipeleka wenyewe tu tena wengine wana risk maisha yao kwa safari ya hatari ya baharini? hujaona hilo?
Ndio waarabu wana take advantage hapo kuendeleza biashara ya watu. Kwa kifupi bado wana vi element vya ile biashara ya utumwa sema wanashindwa kuifanya open cause dunia imebadilika sasa
 
Mkuuukichukulia kidini,hasa dini ya Kiislam inamini kuwa Mungu anajua kabla hakijatokea,jaani kabla hujazaliwa tayari Mungu anajua vipi utaishi,vipi utakufa,hizo ndio imani za Kiisalm,vile vile katika kitabu cha Kuran,Mungu anasema katika suratil Hijra aya ya 15,kuwa kamuumba mtuwa mwanzo kwa udongo mweusi wa ufinyazi,kwahiyo mtu wa mwanzo dunia ni mtu mweusi

Tuje kwenye Mada,kwanza unatakiwa ujue ustaarabu wa mwanzo umeanzia Misri,halafu ndio ukatapakaa,Rome,Greece nk,Sasa kwanini mtu mweusi anapata tabu zote hizi zakuchukuliwa kama watumwa nk..

Katika tafiti zangu naona Mungu ana sababu zake za kufanya Mtu mweusi yamkute yote hayo,...Mkuu ,sio zamani sana labda miaka 10-20 iliyopita,wazungu walikuwa wanawacheka waafrika kwa kuwa na midomo mikubwa,wanawake wa kiafrika wanamatako makubwa,mchezo wa mziki wa kukatika viuono kama wanavyocheza wanawake wa kiafrika ilikuwa ni "disgusting" aibu..

Mkuu,hizi sasa Kila mzungu mwanamke anafanya "Plastic surgery" operation za kufanya Midomo yao iwe kama ya kiafrika,wanakuzisha matako kwa operation,wanacheza kama wanavyocheza wafrika viuno wenywe wanaita "Twerk"..
Nchi ya Iran,Venezuela wanaongoza kwa kufanya operation za kubadilisha puwa zao nk

Ni mapinduzi makubwa,wazungu na watu wengine wasiokuwa wafrika wanaanza kuona uzuri wa mtu wa mwanzo aliemuumba Mungu,yaani Muafrika,Mungu hafanyi makosa,wafrika wakianza kujijua watatawala Dunia na hicho ndio ambacho Mzungu anakiogopa...!!tafakar,i napita tu

Sipingani na wewe mkuu, ila nadhani yote yanayotutokea watu weusi ni mipango ya yake.. Kama anajua kila kitu chako hata kabla hujazaliwa, basi wakati anafanya uumbaji wa mtu mweusi alipanga kuwa ayapitie yote yanayomtokea...
 
Hawa si ndio walituletea uislam tunaoushabikia leo ama sio?
Wazungu sio watu wazuri kabisa walitunyanyasa Sana hao jamaa vyakutosha
Woote wazungu na waarabu si watu wazuri kwa mwafrica. Kama zamani na leo pia wanatumia uelewa mdogo wa viongozi wetu.
Wanafanikisha mambo yao kwa mikataba inayoifanya nchi kuwa colony lao.
 
Hivi haya majamaa yalikuwa yamerogwa na nani mijitu ina nguvu halafu imefungiwa kama kondoo? Naona kama kulikuwa na tatizo vichwani mwao
Majinga sana
Kama hayo yako mawili mzungu mmoja yanashindwa kumuua afu yakimbie
 
Hakuna muarabu hata mmoja aliyewahi kukamata mtumwa huku kwetu bali walikuwa wanawanunua kutoka kwa machifu wao na hakuna mwarabu hata mmoja aliyemuuzia mzungu mtumwa. Wazungu wao walikuwa wanawawinda kwa bunduki huko West Afika na kwenda kuwauza Amerika. Kuhusu kupiga marufuku utumwa, inaonekana mwalimu wako hakuweza kukufafanulia vizuri sababu zilizosababisha biashara hii kupigwa marafuku
Ya nini kuandikia mate? Fuatilia hiyo research paper attached.....
Screenshot_20180926-140431.jpg
 
Back
Top Bottom