Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Dubu ni mtaalamu wa kulala hata akiwa kasimama.
Hawa CUF kweli ichefu chefu. Hii yote ni kuhakikisha waliyofanya CHADEMA yakose maana. Sasa wao walikuwepo bungeni, wakaunga mkono mswada wa mume wao, ni nini tena wanataka kama sio mambo ya kitoto?
ijumaa ijayo NCCR nao waende kuonja maji ya ikulu kisha wanaharakati nao waelekeee huko wakanywe juice ya ikulu halafu wananchi tuamue wenyewe hatutaki mtu wa kukaa bele yetu
Ni CUF waliotangulia kumuona Rais Ikulu ya Zanzibar enzi la Amani Karume. Hii itakuwa safari yao ya pili kwenda Ikulu kwa ziara za chama. Chadema ni mara yao ya kwanza. Ni chama kipi cha upinzania kimeweka kumbukumbu ya kufanya ziara kwa mara ya kwanza tangia mfumo wa vyama vingi uanze mwaka 1995
hawa jamaa sijui kama leo wamekwenda kuswali swala ya ijumaa.
Wanaenda kukutana na muislam mwenzao
Hawa CUF wameenda kukumbatiwa
Wanaenda kufanya nini wakati wameunga mkono muswada wote 100%?
Wameenda kushinikiza kuwa safari hii ni lazima amteue muislam kuchukua nafasi ya Luhanjo!!
Hawa angalau wanaonyesha wanaenda kuzungumza kitu cha maana sio magwanda attention seekers!!!! Tunaomba mtuonyeshe na ajenda zenu tuzisome pia.