Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimpokea Klaus Werner lohannis, Rais wa Romania Ikulu - Dar es Salaam leo tarehe 17 Novemba, 2023
View: https://www.youtube.com/live/n0CG2IQgQtM?si=DEDi79Uv7U9lOxLL
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mgeni wake Rais wa Romania, Klaus Iohannis wakati Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa katika mapokezi Rasmi yaliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023.
RAIS WA ROMANIA APOKELEWA IKULU YA DAR, AKAGUA GWARIDE KWENYE MVUA
Rais wa Romania, Klaus Werner Iohannis akishuka kwenye jukwaa kwa ajili ya kukagua kikosi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambapo anaonekana akikataa kufunikwa na mwamvuli licha ya mvua kunyesha eneo hilo la Ikulu - Dar es Salaam, leo tarehe 17 Novemba, 2023
Amekaribishwa na kupokelewa na mwenyeki wake, Rais Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Romania, Klaus Iohannis akikagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023.
Rais wa Romania, Klaus Iohannis akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023 .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mgeni wake Rais wa Romania, Klaus Iohannis mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023 .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rasmi na Ujumbe wa Romania ulioongozwa na Rais wa Nchi hiyo, Klaus Iohannis Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa na Mgeni wake Rais wa Romania Mhe. Klaus Iohannis wakati wakishuhudia utiaji saini wa Mikataba mbalimbali ya ushirikiano baina ya nchi hizo iliyotiwa saini na Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama na Waziri wa nchi wa masuala ya Dunia na Mikakati ya Kidiplomasia wa Romania, Traian- Laurentiu Hristea kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023.
View: https://www.youtube.com/live/n0CG2IQgQtM?si=DEDi79Uv7U9lOxLL
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mgeni wake Rais wa Romania, Klaus Iohannis wakati Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa katika mapokezi Rasmi yaliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023.
RAIS WA ROMANIA APOKELEWA IKULU YA DAR, AKAGUA GWARIDE KWENYE MVUA
Rais wa Romania, Klaus Werner Iohannis akishuka kwenye jukwaa kwa ajili ya kukagua kikosi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambapo anaonekana akikataa kufunikwa na mwamvuli licha ya mvua kunyesha eneo hilo la Ikulu - Dar es Salaam, leo tarehe 17 Novemba, 2023
Amekaribishwa na kupokelewa na mwenyeki wake, Rais Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Romania, Klaus Iohannis akikagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023.
Rais wa Romania, Klaus Iohannis akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023 .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mgeni wake Rais wa Romania, Klaus Iohannis mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023 .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rasmi na Ujumbe wa Romania ulioongozwa na Rais wa Nchi hiyo, Klaus Iohannis Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa na Mgeni wake Rais wa Romania Mhe. Klaus Iohannis wakati wakishuhudia utiaji saini wa Mikataba mbalimbali ya ushirikiano baina ya nchi hizo iliyotiwa saini na Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama na Waziri wa nchi wa masuala ya Dunia na Mikakati ya Kidiplomasia wa Romania, Traian- Laurentiu Hristea kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2023.