Picha: Viongozi wa CUF watinga Ikulu leo!

Picha: Viongozi wa CUF watinga Ikulu leo!

CUF wanafurahisha sana na style yao ya mwaga ugali namwaga mboga--ilimradi tukose wote. Hivi Lipumba bado tupo kwenye hiki chama
 
watu wenyewe walioenda ikulu wooooooooooooooooooooooote ni wepesi sana
 
hivi hakuna nguo rasmi ya CUF? maake wenzao waliadvertize za kwao. Nimeona wote wametoka kiulaya ulaya except jk.
 
Siasa ni mchezo na kuiba technic ni kanuni ya michezo yote..hahaha NGANGARI KUSHNEY wamesoma ramani too late
 
Naomba kuuliza kama mTZ, kwa mantiki rahisi kabisa, iwapo CUF waliunga mkono muswada wa katiba kwa 100%, rasimu ya sheria imeshasiniwa na kuwa sheria. Wanaonana na JK kuwasilisha hoja ipi maana walishakubaloana tayari bungeni na sheria imeshasainiwa, hivyo watabadilisha kipi? Je NCCR wataonana lini na JK na pia kuleta mabadiliko kivipi kwa sheria iliyokwisha sainiwa? Kwa mtizamo wangu naona huu sasa ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi ambao kila kukicha aheri ya jana wakati mishahara inachelewa kwa kukosekana hela hazina mpaka tunakopa mabenki ya ndani. Mtusaidie matinki ya kumuona JK sasa ni nini?
 
CCM bana ndiyo chama makini kimewachonganisha CUF na Chadema kwa kuwapa juice za matikiti maji, halafu wamekaa pembeni wamewacha CUF na Chadema wanapambana..JK wewe ni kiboko!
 
Naomba kuuliza kama mTZ, kwa mantiki rahisi kabisa, iwapo CUF waliunga mkono muswada wa katiba kwa 100%, rasimu ya sheria imeshasiniwa na kuwa sheria. Wanaonana na JK kuwasilisha hoja ipi maana walishakubaloana tayari bungeni na sheria imeshasainiwa, hivyo watabadilisha kipi? Je NCCR wataonana lini na JK na pia kuleta mabadiliko kivipi kwa sheria iliyokwisha sainiwa? Kwa mtizamo wangu naona huu sasa ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi ambao kila kukicha aheri ya jana wakati mishahara inachelewa kwa kukosekana hela hazina mpaka tunakopa mabenki ya ndani. Mtusaidie matinki ya kumuona JK sasa ni nini?

walisahau suala la mahakama ya kadhi liwe rasmi kwenye katiba.
 
Hawa CUF kweli ichefu chefu. Hii yote ni kuhakikisha waliyofanya CHADEMA yakose maana. Sasa wao walikuwepo bungeni, wakaunga mkono mswada wa mume wao, ni nini tena wanataka kama sio mambo ya kitoto?

Wameenda kumjadili kwa kina Tundu Lisu
 
hivi hakuna nguo rasmi ya CUF? maake wenzao waliadvertize za kwao. Nimeona wote wametoka kiulaya ulaya except jk.

mkuu nguo yetu rasmi ni makobazi,kanzu na baragashia.Sema leo hatujavaa
 
Kumbatia ya Mzee Tyson inamanisha UCameroon!
 
yaani wanacheka cheka mwanzo mwisho, na kupigana mabusu tuuu... Mnyaa kalegea kama kawaida yake
 
Back
Top Bottom