Mtatiro ana bonge ya Sigda(inaitwaje hii maneno?) au mtu alimuotea ngumu JIWE??
back to the topic....kwa nini na wao wamepeleka wajumbe saba kama CDM?this is very low.....kwa kuwa umekutana na CDM na sisi tunataka!!
childish!!!!!!!mmeunga mkono mswada,mmetumia muda mwingi bungeni kumnanga Tundu halafu eti mnataka kuonana na Rais ..ili muongee nini??
back to the topic....kwa nini na wao wamepeleka wajumbe saba kama CDM?this is very low.....kwa kuwa umekutana na CDM na sisi tunataka!!
childish!!!!!!!mmeunga mkono mswada,mmetumia muda mwingi bungeni kumnanga Tundu halafu eti mnataka kuonana na Rais ..ili muongee nini??