Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Mi nafikiri waliolaaniwa ni wale wanaolazimisha kuongoza miili ya watu wakati roho za wananchi zikiwa mbali sana!! .Kutokujitambua kuwa mmelaaniwa ndio kiini cha tatizo lenu.
Cairo's
Mi nafikiri waliolaaniwa ni wale wanaolazimisha kuongoza miili ya watu wakati roho za wananchi zikiwa mbali sana!! .Kutokujitambua kuwa mmelaaniwa ndio kiini cha tatizo lenu.
Hizi ni taarifa mbaya sana kwenu,Anapenda self huyu msaliti...!!!
Kamuulize DAB watu wake wamekamatwa huko. Tulia usipate kihoroAnakutana na viongozi waandamizi wa ulaya lini??
hahahah wewe bila shaka utakuwa na tatizo kichwani yani unatwambia ameweza kutembea mwenyewe halafu papo hapo unasema ametumia magongo......
Kwani ukisema ametembea kwa kusaidiwa na magongo kuna shida gani?
Huwa mkileta habari za Lissu mnaleta na chumvi nyingi.....sasa picha gni hapo inaonesha ana tembea...?
Kikao chake na viongozi wa ulaya ni lini?
Mmemwambia kuwa kamati kuu imewaonya yeye na wenzie kwa kumsema mwenye chama Lowasa?
Tunamwombea apone ili arudi aone jinsi usaliti wake haujasaidia lolote! TZ inaendelea kupaaHizi ni taarifa mbaya sana kwenu,
Kashikishwa fimbo tu,tumeni video anadundaMwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa TLS, Mhe Tundu Lisu akiwa nchini Ubelgiji anapoendelea na matibabu na mazoezi ya kuimarisha viungo, huku akiwa ameweza kutembea mwenyewe kwa kutumia gongo na hali yake kuzidi kuimarika zaidi.
View attachment 679527
Acha kujitoa ufahamu. Sasa unataka dini itumike kama enzi za mkoloni?Napendekeza baada ya muujiza huu wa uponywaji Lissu aachane kabisa na siasa badala yake aielekee Injili iliyo kweli na hakika, amen!
Huko migombani endeleeni na mambo yenu ya kuipinga serikali, lakini mwacheni Lissu apumzike msije mtoa kafara bure!Acha kujitoa ufahamu. Sasa unataka dini itumike kama enzi za mkoloni?
Kuwa ni dhambi kuipinga serikali kulingana na dini? Kuwa ni bora ukaeneze injili badala ya kuipinga serikali?Ujinga huu. Don’t take it personal, but this is dumb. It will set a bad precedence.
Au hujui dini inaweza kutumika vizuri na pia vibaya kutegemeana na nia?
Humjui baba nanii..???Bwana yupi mkuu??
Mpaka kesi mtakayomfungulia iishe...Kwani zile tetesi ataonana na viongozi waandamizi wa ulaya zimeishia wapi??
tafakar kabla ujapost
Aje achilia virago vya mende asiyeweza tens kujibebaMungu akiwa upande wako ni nani atakayekudhuru? Asante mungu kwa kuokoa maisha ya lissu maana taifa linamhitaji.
Kwani post lazima uielewe?
I was right, you’re dumb.Huko migombani endeleeni na mambo yenu ya kuipinga serikali, lakini mwacheni Lissu apumzike msije mtoa kafara bure!