PICHA: Silaha alizokamatwa nazo Mansoor

PICHA: Silaha alizokamatwa nazo Mansoor

ufanywe uchunguzi wa kina km silaha hiyo imehusika kwny vitendo vya ujambazi na pia ujangili
 
Tatizo walijifunza mbinu za kijasusi ktk nchi za kikomunisti ..zimeshapitwa na wakati na siku hizi kuna ICC unakuja kuchomolewa na navy seal..viongozi fikiria kabla ya kutenda
 
Jmani pengine tusimlaumu sana labda ndicho anachopenda, nina maana wengine wanapenda kumiliki magari hata awe nayo mangapi akiona lingine limemvutia ananunua, wengine mademu hata kama kaoa atahakikisha hapitwi na wapembeni, wengine simu, tablet, computer nk......sasa labda mwenzetu anapenda bunduki na risasi, pengine akiziona tu anaburudika nafsi......ila ngoja tusubiri uchunguzi maana hata yule jamaa mwingine alikutwa na bunduki Morogoro sasa kapewa unaibu huko kwenye fedha.
 
huyu jamaa yuko framed au ni mtu hatari ivi???
 
Kama anamiliki kihalali sidhani kama ni shida na kama riasi alipata kihalali pia sio tatizo. Mimi sijawahi ona polisi wakiwa sana strict mtu anapokwenda kuomba kibali cha kununua risasi zaidi ya kumweleza aonyeshe licence ya kumiliki Silaha.
Mkuu, kisheria mtu mzima mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea anaruhusiwa kumiliki silaha mbili, yaani moja kubwa eg gobore, Rifle isipokuwa zile za kivita na ndogo kama pisto kwa lengo la kujilinda. Wanaoruhusiwa kumiliki zaidi ya hapo ni wenye makampuni ya uwindaji, makampuni ya ulinzi and likewise. Nahisi hizo atakuwa anazimiliki kihalali. Sema kama ni kwa ajili ya kujilinda tu risasi nyingi hivyo kwani anajilinda kwa kutumia kombania?
 
Jmani pengine tusimlaumu sana labda ndicho anachopenda, nina maana wengine wanapenda kumiliki magari hata awe nayo mangapi akiona lingine limemvutia ananunua, wengine mademu hata kama kaoa atahakikisha hapitwi na wapembeni, wengine simu, tablet, computer nk......sasa labda mwenzetu anapenda bunduki na risasi, pengine akiziona tu anaburudika nafsi......ila ngoja tusubiri uchunguzi maana hata yule jamaa mwingine alikutwa na bunduki Morogoro sasa kapewa unaibu huko kwenye fedha.
sifongo, hao wenye madem lukuki, magari kibao nk wamekiuka sheria ipi? Umiliki wa silaha una masharti yake. Ngoja tusubiri uchunguzi kama ulivyosema
 
Beleshi la dhahabu la mkapa lipo wapi?mrema alikamata dhahabu uwanja wa ndege zilikua za vigogo zipo wapi?silaha za kivita alizokua nazo Adam Malima zipo wapi?

Mwanagu Kula tu Usiulize Mpaka wa shamba....NDIVYO WATAKAVYO KUJIBU?!....WE jiulize kuanzia lini kwa mtu serious unayefanya uchunguzi serious and a criminal expert unakurupuka na kuweka ushahidi wa zana na silaha unazodai kuzikamata mtandaoni....Hicho ni kidhibiti.... na in fact kinachofanyika hapa ni makosa kabisa kisheria Silaha na watuhumumiwa hawatakiwa kuwekwa hadharani kwani kitaathiri mashahidi wakati wa utoaji ushahidi Mahakamani.
 
tatizo ni kama anamiliki bila kuwa na kibali vinginevyo hizo ni silaha za kiraia kabisa,mfano hiyo shortgun ni bunduki inayo replace gobore,haina mpango wowote bora ushike machete,lakini Adam Malima alikutwa na sub machine gun lakini hadi leo vyombo uya usalama vimefumba macho,
ONLY IN BONGO LAND.

Wewe pu .mba.vu jinga kubwa znz huwezi kumiliki silaha..Adam ana vibali na huyo bara kisheria unaruhusiwa kenge wewe
 
Ni mipango ya ccm tu, mbona hawakumtilia shaka hapo kabla alipokuwa waziri na mwakilishi? ni chuki za ccm tu, mbona hawajaenda kumpiga search balozi seif ali iddi? Steven wassira? Mohd Abud nk?

Ni njama za ccm kujaribu kutaka kumdhoofisha lakini Wazanzibari tumemkubali 2015 mbele kwa mbele, ccm inayumba sasa njia zote zimekwisha bado tunao usiku na mchana.
Majambazi mnajuana ndiyo maana mnahurumiana na kukingiana vifua sana.
 
Mbona hata adamu malima alikutwa na siraha kipindi alipoibiwa japo waliiba vitu vingine na kumbakizia siraha zake. Kweli ccm ni janga la kitaifa
 
sifongo, hao wenye madem lukuki, magari kibao nk wamekiuka sheria ipi? Umiliki wa silaha una masharti yake. Ngoja tusubiri uchunguzi kama ulivyosema

Ni kweli mkuu hao niliowataja hawajakiuka sheria lakini pengine na huyu hajakiuka pia, pengine anavimiliki kihalali japo mashaka ndio yametanda zaidi "katika Nchii hii kila kitu kinawezekana".......ngoja tusubiri wenye kufanya uchunguzi.
 
Silaha zote hizo anazo kihalali. Ataachiwa huo. Vcm walitaka kuwatishia tu na wanajua atakuja kuwa mbunge. Hivyo wanamtafutia jinai
 
Angekuwa Mbowe, Dr Slaa, au Tundu Lissu amekutwa nazo, wiki hii yote ingekuwa mapumziko. Hayo ni matokeo ya CUF kuwa kwenye UKAWA.
 
Back
Top Bottom