PICHA: Silaha alizokamatwa nazo Mansoor

PICHA: Silaha alizokamatwa nazo Mansoor

Nyie chekeni na magaidi tu, mtauona moto wao na upumbavu wenu wa kuchanganya siasa na uamsho utakwisha ghafla, boko haram wakubwa!

Umenikumbusha na Adam Malima kwani na yeye ni muislam inawezekana ni kiongozi upande wa Bara kwani aliwahi kukutwa na SMG + magazine 2 guest pale Morogolo pamoja na Bastora na Risasi zake lakini cha ajabu alitetewa na Polisi na hakuchukuliwa hatua yeyote
 
Kaka sijaelewa hebu nifafanulie kidogo, kwamba ccm ndio wamekwenda kumuekea hizo silaha ndani mwake au??

Subiri kidogo utagundua kuwa chochote kinawezekana. Huu ni mwanzo tuu. Bado mambo hayajaanza.
 
Haya turudi kwenye mada kuu:
1. UKAWA hawaendi Dodoma.
2. Adeni Rage na Tambwe wamepata ajali wakienda Dodoma.
3. katiba mpya haikuwa ajenda ya CCM. Aalilazimishwa, wakatumia gharama kubwa kuifikisha ilipo kisha wakaitelekeza kwa hoja DHAIFU za kujadili watu badala ya hoja.
4. UKAWA: Wasaliti wotw watakiona!
5. Tuwe wajinga.Tusiwe wapumbavu-Kabudi.
6. Kuongoza BMKM,heri ya uongozi wa Kificho kuliko 6.
7. Bonge la katiba linaanza kesho.
8...............
 
ilo ni kosa kk..nafkiri kwa znz raia kumiliki silaha na risasi kisheria ni kosa kubwa.....hairuhusiwi labda bongo ndo ruhusa lkn kwa huku znzni kosa
 
ilo ni kosa kk..nafkiri kwa znz raia kumiliki silaha na risasi kisheria ni kosa kubwa.....hairuhusiwi labda bongo ndo ruhusa lkn kwa huku znzni kosa
Kweli kaka, niliwahi kusikia kauli hiyo ikitolewa kuhusu ujambazi wa silaha uliokuwa ukitokea znz kuwa hawawezi kuwa wakaazi wa znz kwa sababu znz mtu haruhusiwi kuwa na silaha
 
Ni mipango ya ccm tu, mbona hawakumtilia shaka hapo kabla alipokuwa waziri na mwakilishi? ni chuki za ccm tu, mbona hawajaenda kumpiga search balozi seif ali iddi? Steven wassira? Mohd Abud nk?

Ni njama za ccm kujaribu kutaka kumdhoofisha lakini Wazanzibari tumemkubali 2015 mbele kwa mbele, ccm inayumba sasa njia zote zimekwisha bado tunao usiku na mchana.

Jinga ww


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨uuuu
 
Wewe pu .mba.vu jinga kubwa znz huwezi kumiliki silaha..Adam ana vibali na huyo bara kisheria unaruhusiwa kenge wewe


Samahani ndugu. Umesema Adam Malima ana vibali vya kumiliki SMG? au sijakuelewa?

Hapa mkononi kwangu ninazo sheria mbili za udhibiti wa silaha uraiani. Moja ilisainiwa na Ali Hassan Mwinyi June, 1991 ikiwa ilitengezwa kuboresha sheria ya udhibiti wa silaha uraiani ya 1923 toleo ya mwaka 1968. Hii ya pili ninayo hapa ilisainiwa na Gavana Mwingereza kutumika Tanganyika 1923 kwa makusudi hayo ya kudhibiti silaha uraiani. Hakuna mahala popote katika sheria hizi ambapo raia ameruhusiwa kumiliki Sub-Machine Gun Gesti au nyumbani kwake. Hiyo inatiwa silana ya Kivita.

Hebu nieleze ni kifungu kipi kwenye hizi sheria mbili ambazo zinatumika Tanzania Waziri Mdogo anaruhusiwa kumiliki SMG katika Gesti uraiani. Wapi katika hizi sheria panasema hivyo? Nimetafuta sijapaona.

Hata wanajeshi hawaruhsiwi kuingia na SMG kwenye gesti, kama alivyofanya Adam Malima--hata kama hilo lilifanywa kwa nia njema kabisa ya kutaka kumbabaisha mwanamke mtusi akubali kufanywa kirahisi. Nimetumia lugha hiyo kwa sababu najua wapo wanaoenda mbali zaidi kuhusu tukio lile. Kulingana na Vyeo kule jeshini pengine askari anaweza kuruhusiwa kuenda nyumbani na Smith Weston Pistol, lakini siyo SMG. Malima alikuwa kwenye lindo la benki gani mule gesti? Yeye ni askari wa cheo kipi kutoka Kambi gani ya JW kuruhusiwa kulala na SMG gesti? Alikuwa anaenda kwenye vita wapi?

Kama una akili timamu sikia hili: Mtaweza kudanganya watu fulani wakati fulani. Lakini hamtaweza kudanganya watu wote kila wakati. Kwa kutumia sheria hizi mbili, Adam Malima ni mhalifu ambaye analindwa na Mfumo Islamu ambao umeingizwa katika serikali ya Tanzania kulinda mfumo huo Islamu na kupinga mfumo Kristo unaodaiwa kuwepo. Malima ni Mhalifu. Hapajatolewa maelezo yanayokubalika kisheria kufuta ukweli huu. Adam Malima ni Mhalifu tu ambaye anasubiri serikali makini apelekwe lupango.
 
Mamaaaaah! tembo wetu wanaowamaliza wako mjini operesheni tokomeza inawatafuta porini.
 
hizo siraha zote zinaruhusiwa kwa mtu binafsi kumiliki, tatizo nadhani liko kwenye idadi ya risasi! huenda alipata hizo risasi zawadi au alichukua sehem kwa bei rahisi sana akaamua ku-stock up akijifariji hakuna atayemkagua!

Mkuu inategemea na nchi husika, wenyewe zanzibar wanasema raia harusiwi kumiliki siraha yoyote ya moto. Mi nafikiri ishu hapa ni je kweli za kwake, kazipata kihalali, kwa matumizi yapi. Kesi itakapokwisha tutakuwa na ya kuongea!!
 
Mkuu inategemea na nchi husika, wenyewe zanzibar wanasema raia harusiwi kumiliki siraha yoyote ya moto. Mi nafikiri ishu hapa ni je kweli za kwake, kazipata kihalali, kwa matumizi yapi. Kesi itakapokwisha tutakuwa na ya kuongea!!
raiya haruhusiwi kumiliki siraha ya moto zanzibar?!!!una uhakika na hili mkuu?
 
Mbona yule naibu waziri wa fedha Malima ilikuwa sijui Dodoma gest alikutwa na AK47 kama nakumbuka vzr au nimesahau.......?Hii ndiyo Tanzania Rage mwenyewe alishaonekana na mguu wa kuku kiunoni akapigwa faini jiwe 1 hahaha.
 
Kama anamiliki kihalali sidhani kama ni shida na kama riasi alipata kihalali pia sio tatizo. Mimi sijawahi ona polisi wakiwa sana strict mtu anapokwenda kuomba kibali cha kununua risasi zaidi ya kumweleza aonyeshe licence ya kumiliki Silaha.
Mpaka sasa tumepata case study ya kuhusu masuala ya katiba na sheria za nchi ambayo ni JMT kwani walisema upelelezi bado unaendelea na mwisho wa siku ukikamilika wataona kama ashitakiwe Bara kwa sheria za JMT au Zanzibar kwa kuwa sheria za Zanzibar haziruhusu raia kumilki silaha.
 
Back
Top Bottom