Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,339
raiya haruhusiwi kumiliki siraha ya moto zanzibar?!!!una uhakika na hili mkuu?
NNi kweli mkuu hata mie nilisikia kamishina wa jeshi la polisi wa Zanzibar akisema hivyo kama nilivyochangia hapo chini
Mpaka sasa tumepata case study ya kuhusu masuala ya katiba na sheria za nchi ambayo ni JMT kwani walisema upelelezi bado unaendelea na mwisho wa siku ukikamilika wataona kama ashitakiwe Bara kwa sheria za JMT au Zanzibar kwa kuwa sheria za Zanzibar haziruhusu raia kumilki silaha.
Ndio maana nimeandika "wenyewe wanasema" mi sijui, tusubiri hukumu tutajua ukweli