PICHA: Silaha alizokamatwa nazo Mansoor

PICHA: Silaha alizokamatwa nazo Mansoor

Silaha sioni shida kukutwa nazo, sasa hizo risasi nyingi hivyo anakuwa nazo kwa kazi gani hasa??

Swali la kizushi tu mwanafyale; Tatizo unaloliona ni kuwa na silaha au risasi. Kwani zilikuwa risasi za silaha tofauti na alizo nazo au? Kuna kitu mwanafyale kinaitwa kulenga shabaha. Mtu unatoka na bunduki yako unaenda porini au hata nyuma ya nyumba yako, kama umesha waambia majirani kwamba unalenga shabaha. Unaenda kupiga risasi zako za shabaha hata hamsini hivi kwa siku. Kule JKT tulipewa risasi 30 siku moja tukaenda kulenga shabaha. Sasa weye waona hizo ni nyingi kakutwa nazo?? Akitumia 30 kwa siku atatumia kwa siku ngapi??? Tuelezwe kama aliziiba au aliuziwa kimagendo lakini kama ana risiti zake, shida iko wapi??
Kama walimkuta na silaha ambayo haimiliki kihalali hapo ni kosa. Msimtafutie mtu kosa jamani. Mwacheni awe ametenda kosa. Kama hajawahi kutishia mtu, hajawahi kuvamia kituo cha petroli kuiba sasa kukutwa tu na risasi za silaha alizonazo kihalali ndiyo iwe issue??
Msimchukie mtu hivyo ati si mwenzetu. Mnamtisha ili arudie matapishi??
 
Hapo anaweza akawa matatani kwenye idadi ya risasi.
Lakini hizo silaha mbili pisto na gobore zote kisheria raia anaruhusiwa kumiliki ili mradi awe na kibari.

Angakamatwa na silaha za kivita kama hii hapa chini ndio ingekuwa tatizo.
348px-AK-47.jpg
 
Ni mipango ya ccm tu, mbona hawakumtilia shaka hapo kabla alipokuwa waziri na mwakilishi? ni chuki za ccm tu, mbona hawajaenda kumpiga search balozi seif ali iddi? Steven wassira? Mohd Abud nk?

Ni njama za ccm kujaribu kutaka kumdhoofisha lakini Wazanzibari tumemkubali 2015 mbele kwa mbele, ccm inayumba sasa njia zote zimekwisha bado tunao usiku na mchana.
Nakuunga mkono maana ukiangalia sura ya huyo anayeonyesha hizo silaha hajiamini hata punje!!! Yaani ni full sanaa.
 
Sheria uchukue mkondo wake, kuna miji2 mipuuzi inayotetea eti kisa wanampenda kisiasa acheni ujinga acheni mahakma ifanye kaz yake haki itapatikana.
 
Jamaa hawa wamenikumbusha visu vya alama ya cuf 2000....ccm wajinga sanaaa
 
Mie ngoja nipite kimya kimya maana hata simjui ni nani huyo
 
Credibility ya polisi wa awamu hii iko chini sana, ni shetani tu anaeweza kuamini hii sinema yao.
 
Silaha sioni shida kukutwa nazo, sasa hizo risasi nyingi hivyo anakuwa nazo kwa kazi gani hasa??

Na hio naamin ndio hoja kuu , ila pia kosa jengine ni kumiliki hio bastola kubwa bila sheria
 
Natabiri, Tundu Lissu atakamatwa kwa kufadhili na kuwahifadhi magaidi wa Boko Haram na picha za hao magaidi zitapigwa wakiwa wapo pamoja na Lissu na magazeti yote kasoro Nipashe na Tanzania Daima yataweka hiyo mipicha kwenye front page
 
Kama anamiliki kihalali sidhani kama ni shida na kama riasi alipata kihalali pia sio tatizo. Mimi sijawahi ona polisi wakiwa sana strict mtu anapokwenda kuomba kibali cha kununua risasi zaidi ya kumweleza aonyeshe licence ya kumiliki Silaha.

Unajua sheria ya risasi kwa hizo short gun?
 
Swali la kizushi tu mwanafyale; Tatizo unaloliona ni kuwa na silaha au risasi. Kwani zilikuwa risasi za silaha tofauti na alizo nazo au? Kuna kitu mwanafyale kinaitwa kulenga shabaha. Mtu unatoka na bunduki yako unaenda porini au hata nyuma ya nyumba yako, kama umesha waambia majirani kwamba unalenga shabaha. Unaenda kupiga risasi zako za shabaha hata hamsini hivi kwa siku. Kule JKT tulipewa risasi 30 siku moja tukaenda kulenga shabaha. Sasa weye waona hizo ni nyingi kakutwa nazo?? Akitumia 30 kwa siku atatumia kwa siku ngapi??? Tuelezwe kama aliziiba au aliuziwa kimagendo lakini kama ana risiti zake, shida iko wapi??
Kama walimkuta na silaha ambayo haimiliki kihalali hapo ni kosa. Msimtafutie mtu kosa jamani. Mwacheni awe ametenda kosa. Kama hajawahi kutishia mtu, hajawahi kuvamia kituo cha petroli kuiba sasa kukutwa tu na risasi za silaha alizonazo kihalali ndiyo iwe issue??
Msimchukie mtu hivyo ati si mwenzetu. Mnamtisha ili arudie matapishi??

Wewe umeenda JKT upo ndani pale pale umepewa utumie 30 sio kosa ndio.
Ila ushawahi kumuona askari akipewa AK 47 alale nayo kwake?
Kwa hiyo watu waliposema " kinga ni bora kuliko tiba walikosea?" nakushangaa unaposema kama hajawahi kutishia mtu aachiwe, sasa unajua private life yake?
Ila fuatilia hio habari ujue sheria ya kumili risasi kwa short gun mtu anatakiwa amiliki kiwango gani?
 
Zile za Kigoma malima CCM name serial I yenu mlifanya nn, huyu ndo mnatutangazia baada ya kuwamwaga, CD tunajua ccm wrote mna siraha za kivita ndani
 
3.jpg


Na huyu alikutwa na silaha ngapi?


 
Ni mipango ya ccm tu, mbona hawakumtilia shaka hapo kabla alipokuwa waziri na mwakilishi? ni chuki za ccm tu, mbona hawajaenda kumpiga search balozi seif ali iddi? Steven wassira? Mohd Abud nk?

Ni njama za ccm kujaribu kutaka kumdhoofisha lakini Wazanzibari tumemkubali 2015 mbele kwa mbele, ccm inayumba sasa njia zote zimekwisha bado tunao usiku na mchana.

wewe kichaa mtu amekamatwa na risasi bila marlezo na amekiri unasema mchezo wa ccm.puuuuuumbavu
 
Nimejikuta namshangaa huyu askari wa kiume mjamzito! ... kama anamiliki kihalali kuna ubaya gani?... Hizi ni chuki za wazi za kisiasa...
 
Swali la kizushi tu mwanafyale; Tatizo unaloliona ni kuwa na silaha au risasi. Kwani zilikuwa risasi za silaha tofauti na alizo nazo au? Kuna kitu mwanafyale kinaitwa kulenga shabaha. Mtu unatoka na bunduki yako unaenda porini au hata nyuma ya nyumba yako, kama umesha waambia majirani kwamba unalenga shabaha. Unaenda kupiga risasi zako za shabaha hata hamsini hivi kwa siku. Kule JKT tulipewa risasi 30 siku moja tukaenda kulenga shabaha. Sasa weye waona hizo ni nyingi kakutwa nazo?? Akitumia 30 kwa siku atatumia kwa siku ngapi??? Tuelezwe kama aliziiba au aliuziwa kimagendo lakini kama ana risiti zake, shida iko wapi??
Kama walimkuta na silaha ambayo haimiliki kihalali hapo ni kosa. Msimtafutie mtu kosa jamani. Mwacheni awe ametenda kosa. Kama hajawahi kutishia mtu, hajawahi kuvamia kituo cha petroli kuiba sasa kukutwa tu na risasi za silaha alizonazo kihalali ndiyo iwe issue??
Msimchukie mtu hivyo ati si mwenzetu. Mnamtisha ili arudie matapishi??
mangatara ulimsikiliza lakini kamanda wa polisi nini alikizungumza wakati akifafanua hilo jambo!?

Sijui kama mimi ndo nilielewa vibaya lakini ni kwamba, kwa sheria ya Zanzibar, MTU YEYOTE HARUHUSIWI KUMILIKI SILAHA YA MOTO...hayo sio maneno yangu, ni maneno yalotamkwa wakati wakilionesha hilo tukio.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom