Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,507
Mtama ukishamwagwa uwanjani penye kuku wengi kila kuku ni kudonoa kadiri ya uwezo wake. Kuna kuku watakao donoa mchanga badala ya mtama kwa kiherehere chao, lakini wate wako uwanjani wanadonoa mtama na wanaonekana wote ni kuku wako busy kudonoa mtama.
inategemea hata mtama uko kiasi gani na kuku wako kiasi gani mpaka waanze kudonoa donoa mchanga..........si basi na mwenye mtama lazima awaruhusu hao kuku kudonoa donoa.