Picha - Shonza/Mwampamba UVCCM - waliobaki wawafuate

Picha - Shonza/Mwampamba UVCCM - waliobaki wawafuate

Hapo sio Bondeni Hotel kweli manake mazingira ya nyumbani kukosea Mara chache sana
 
308012_334538663316880_538665124_n.jpg


Waliojivika ngozi ya kondoo ndani ya CHADEMA kama akina Juliana Shonza na Mtela Mwampamba wangalipo? Hapana budi kuwaondoa warudi kwenye kundi lao kama wenzao hapa kwenye picha, Hatutaki ndumila kuniwi, wanachotafuta ni shibe si ukombozi wa Mtanzania.

CHADEMA wabaki wapiganaji wa kweli, kwani CCM wangali na oversize zisizotumiwa zinawasubiri.

1. Shati alilovaa masalia wa kike ameazima kwa komba komba nini?maana linaonekana kubwa mikononi.
2.mbona hajafunga vifungo vya shati,.au katoka kuukalia then wakamkurupusha aje kupiga picha?
3.anamkonyeza nani au ana chongo siku hizi?
 
Sasa kuongozana kila wanapoenda kunamaanisha nn? Au ndo trade mark yao kwamba wametoka wote CHADEMA na wataendelea kuwa wote CCM.
 
CHADEMA hatuwaonei wivu wowote ni kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.pia tunaona kama kakituko fulani vile.mtu kama Mwampamba aliye kuwa mgombea ubunge mbozi mashariki alivyo kuwa anainanga ccm hazarani kwa kueleza ubaya wake na kuimwagia CHADEMA sifa kedekede leo eti ndiye aliyebadilika na kuanza kuifanyia chadema kile alicho kuwa anawafanyia ccm na kuwaona ccm kama lulu wakati hapo awali aliwaona kama mavi.na kupokelewa ccm kama shujaa hata bila ya kueleza kama yale machafu aliyokuwa anayasema ndani ya ccm yameisha ndiyo maana kaamuwa kujiunga na chama hicho.kama chadema ambayo ilikuwa inaonekana kama lulu hapo awali leo imegeuka kuwa kama mavi huku ccm ambayo ilikuwa inasemwa kwa kila aina ya uchafu imegeuka kuwa lulu basi vyama vyote ni safi.matatizo yapo kwa hao wanaobadilika kama vinyonga naweza kusema yote hayo yanasababishwa na njaa kali.

mkuu, njaa kali kwangu mimi naona ipo kwa wanachama au wapenzi walio wengi katika vyama. Ndiyo maana haishangazi watu kila mikutano ya vyama wanajiunga kutoka chama kingine kwa mamia. Sina shaka hata hawa vijana walikuwa CHADEMA bila kujua misingi ya CHADEMA ya ipi na kwa sasa wameenda CCM bila hata kujua misingi yake vilevile ni ipi.

Sijaamini bado kama kuna wanachama/wapenzi wengi kwenye vyama ambao wako kwa misingi ya itikadi,falsafa and political spectrum. Vyama vyetu vina wanachama wanaochagizwa na siasa za matukio. Itikadi, falsafa na political spectrum ya CHADEMA ukiingalia kwa undani haitofautiani na ile ya CCM. Ndiyo maana kitu kinachodaiwa na CHADEMA ni CCM kushindwa kuzisimamia na kuzitekeleza huku CHADEMA kikijipambanua kama wao wako mahili katika usimamizi na utekelezaji.

Watu wako kama bendera hufuata upepo na ndiyo hiki kilichotokea na usishangae kuona kesho wanakuwa ni viongozi wa vyama.
 
sasa mbona wanatembea wawili wawili tangu tangu juzi. Wanaonyesha wapweke maskini ya Mungu.
 
308012_334538663316880_538665124_n.jpg


Waliojivika ngozi ya kondoo ndani ya CHADEMA kama akina Juliana Shonza na Mtela Mwampamba wangalipo? Hapana budi kuwaondoa warudi kwenye kundi lao kama wenzao hapa kwenye picha, Hatutaki ndumila kuniwi, wanachotafuta ni shibe si ukombozi wa Mtanzania.

CHADEMA wabaki wapiganaji wa kweli, kwani CCM wangali na oversize zisizotumiwa zinawasubiri.
Hongreni uamuzi wenu sahihi nasikia mbozi na mbeya wanawasubiri kwa hamu sana.ili vijana wenzenu nao wavue magwanda.baada ya kutambua kuwa magwanda yalikuwa ni kutumikishwa kwa maslahi yao.
 
Hawajasema wanataka kupata madaraka thats one, lakini two umakamu mwenyekiti wa bavicha ambayo hata ofisi haina ulikuwa na manufaa gani kwa Juliana? Sanasana Juliana ndiye aliyekuwa anatumia kipaji chake kuinufaisha chadema....

Kipaji cha kusema uwongo? Huna habari kuwa walifukuzwa? Unaweza kufukuza mtu "anayetumia kipaji chake kunufaisha chama?" si wehu huo?? " sijui unatunia nini kufikiri...au Masaburi??

Kwamba BAVICHA ofisi haina unajuwa ofisi za uvccm na chama chenu cha majambazi zilipatikanaje?
Do not argue like a fool.
 
Duh, vijamaa vyenyewe ndio hivo vipimbi, maana nilikuwa sajawahi kuwaona. They look like fools.
 
Kipaji cha kusema uwongo?
Kwamba BAVICHA ofisi haina unajuwa ofisi za uvccm na chama chenu cha majambazi zilipatikanaje?
Do not argue like a fool.

Unamjua mmiliki wa jengo walilopanga chadema makao makuu pale Kinondoni?, na unajua kodi inalipwa sh. ngapi kwa mwezi?
Wajinga ndio waliwao...
 
308012_334538663316880_538665124_n.jpg


Waliojivika ngozi ya kondoo ndani ya CHADEMA kama akina Juliana Shonza na Mtela Mwampamba wangalipo? Hapana budi kuwaondoa warudi kwenye kundi lao kama wenzao hapa kwenye picha, Hatutaki ndumila kuniwi, wanachotafuta ni shibe si ukombozi wa Mtanzania.

CHADEMA wabaki wapiganaji wa kweli, kwani CCM wangali na oversize zisizotumiwa zinawasubiri.

Aibu gani hii!!
Vijana wanageuzwageuzwa tu!! aibu aibu!! wanaondoka huku chadema inazidi kuimarika!! watajuta....
Lkn la pili...ccm wanapote wakati mwingi kwa kufanya ujinga huku nchi inateketea kwa udini!!!
 
Ninyi wadau ni kidada chanu basi tu. Mchina ambaye ana uraia Tanzania, Mhindi mwenye uraia wa Tanzania maana yake si mchina wala mhindi tena kwa damu sababu ya kuwa raia wa Tanzania? Genetic genealogy haipotei kwa kuwa raia wa nchi fulani, unabaki naye labda ipotee taratibu kwa budding.

cc
ZeMarcopolo
Wanadebate Reagan na Shonsa wakati mmoja keshakufa kitambo. Hahahha!!
 
Unamjua mmiliki wa jengo walilopanga chadema makao makuu pale Kinondoni?, na unajua kodi inalipwa sh. ngapi kwa mwezi?
Wajinga ndio waliwao...

Hapana simjui. Namfahamu tu yule aliyetengeneza ARV feki yeye na mkewe wakapata pesa za kuhonga wana CCM kwa kuwahonga laki 3 @ na simu juu. Nawafahamu na waliolifikisha taifa langu pendwa Tanzania hapa tulipo.
 
Back
Top Bottom