Picha - Shonza/Mwampamba UVCCM - waliobaki wawafuate

Picha - Shonza/Mwampamba UVCCM - waliobaki wawafuate

Umeshaseama neno 'Reagan' 'Marekani'.
Hapa tunazungumzia masalia waliofokuzwa chadema, alafu tupo tanzania.

Mkuu hebu tuhabarishe sheria za Chadema zinakataza wanachama waliofukuzwa wasijiunge na vyama vingine?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Hawa kwa sisi tulio na Akili timamu unaweza kuwaita Machangudoa wa Demokrasia.

Ukifanikiwa kuwa na Changudoa Kike au Wa Kiume ndani ya Ndoa hiyo si Ndoa bali Ndoano .

Chadema wanahitaji Ben Saa Nane wengine wengi kwenye Mfumo wa Uongozi wa Chama hasa Baraza la Vijana maana hawa ndio viongozi muhimu na nguvu kazi ya kuongezea walipofikia wazee wetu ambao bado wanapambana pamoja na kwamba walistahili kupunzika.
 
Yuko kitengo cha "mawasiliano" ofisi ndogo. Hapandi tena daladala, siku hizi ana baloon.
Ndiyo maana siku zote nasema walichokifuata akina shonza chadema baada ya kumaliza chuo kikuu wao ni pesa za kisiasa kama mjuavyo ajira zilivyongumu kwa sasa,,baada ya kuona huku chadema ni kazi kwa kwenda mbele na kujitoa zaidi hadi kuufikia ukombozi wa kweli kwao ikawa ngumu coz wamefuata pesa.
KWA KUONA CHADEMA ULAJI HAKUNA,WAKAKUMBUKA KWA NINI WAFE NJAA WAKATI CCM UKIHUDHURIA KIKAO TU UNASAINI POSHO???TAFAKARI,CHUKUA HATUA.
 
elimu zao hazija wakomboa....labda kwa matumbo yao tu...walisoma ili wasife njaaa....makapi yakafie mbali
haya ni matokeo ya kuendekeza njaa.....njaa ukiindekeza inaweza kukufikisha pabaya.....
 
308012_334538663316880_538665124_n.jpg



.
Afadhali wametuondolea kiwingu. Hebu tuendelee na M4C yetu.
 
What is the obsession with Shonza and Mwampamba? Mbona siyo watu wa kwanza kuhamia CCM toka Chadema and vice versa na wala hawata kuwa wa mwisho.

Huyu dada Shonza ambae sasa kawa "overnight celebrity" hamna aliekua na time nae. Dada akaandika thread hapa JF kwamba atajitetea ndani ya Chadema akapondwa akaambiwa kama hatakiwi Chadema kwa nini asihame. Kahama imekua issue.

Ninacho weza sema ni kwamba inaelekea kuhama kwake kumeiafect Chadema au at least wafuasi wa Chadema humu JF. Kwa sababu kama mtu ni "mamluku", "anatumiwa", na maneno kibao yaliyo tumika kumdescribe huyu dada kwa nini mjaze thread zake humu JF? Kama alikua hana umuhimu Chadema hamna haja ya kumuongelea.
Mkuu acha kuchanganya mambo.

*Shonza na Mwampamba hawakuhama CHADEMA bali walifukuzwa CHADEMA kabla ya kujiunga CCM. Hivyo hakuna athari za moja kwa moja CHADEMA watazipata kwa kuwakosa.

*Watu wengi humu JF wanakosoa kuhamia kwa vijana hao CCM kwa kuzingatia sababu walizozitoa wakati wanahamia CCM(Kudai CHADEMA ni chama cha kidini, Kaskazini, Ufisadi nk.) na malengo waliyoyasema wakati wanahamia CCM(Watahakikisha Chadema inachafuka, inachukiwa na inakufa kisiasa).

*Kwa kuwa CCM imesema hadharani kuwa itawatumia vijana hawa kama silaha ya kupambana na CHADEMA, ni lazima ProChadema humu JF wapeleke mashambulizi kwa hawa vijana sasa.

MY TAKE
1/Sioni sababu yoyote ya kupoteza muda mwingi humu JF kuwazungumzia hawa vijana kwa kuwa hawana faida yoyote kwa sasa katika siasa za Tanzania, ni wachumia tumbo wa kawaida sana.

2/Hoja yoyote ya msingi watakayoileta humu ijibiwe kwa hoja, vinginevyo tuachane nao kwani tutakuwa tunawapa umaarufu wa kijinga kabisa.

3/Mwisho ninampa pongezi Ben Saanane kwa kazi nzuri sana aliyoifanya yakuwafukua masalia toka mafichoni mpaka kuja hadharani kuvua ngozi walizojifichia na kisha kuwajua kwa rangi zao halisi.
 
Hiyo hadithi ya ukabila ilianzia NCCR-MAGEUZI, udini esp Uislam ukahamia CUF, na sasa ukabila na udini vyote vimehamia CHADEMA; sipati picha tuwe makini sana sidhani kama tutapata ukombozi wa kweli kwa propaganda hizi, mwishowe tutaingia kwenye msuguano wa kidini kama cheche zilivyoanza kanda ya ziwa kutokana na propaganda za Magamba
 
Ndiyo maana siku zote nasema walichokifuata akina shonza chadema baada ya kumaliza chuo kikuu wao ni pesa za kisiasa kama mjuavyo ajira zilivyongumu kwa sasa,,baada ya kuona huku chadema ni kazi kwa kwenda mbele na kujitoa zaidi hadi kuufikia ukombozi wa kweli kwao ikawa ngumu coz wamefuata pesa.
KWA KUONA CHADEMA ULAJI HAKUNA,WAKAKUMBUKA KWA NINI WAFE NJAA WAKATI CCM UKIHUDHURIA KIKAO TU UNASAINI POSHO???TAFAKARI,CHUKUA HATUA.


Naona hiyo policy ya kujitoa chadema inawahusu wengine lakini sio Dr. Slaa, maana yeye alishasema bila kulipwa mamilioni hakai chadema. Sasa hivi Dr. ndio kiongozi wa kisiasa anayelipwa pesa nyingi kuliko wote nchini.
 
Kweli kijani hii haiwezi kuwa vazi la vita, hata ukijaza mifuko jezi haipendezi. Hapo sasa ndo mwisho kabisa.
 
Siuoni umuhimu wa kuwajadili hao! What they do si playing with our mind! Ninawajua kiasi hao vijana! They want to get advantage kwa kuweka threads zao na kwakutokujua nasi tunawajibu! Kwa kufanya hivyo tu tunajikuta tukiwafanya waendelee kuwepo katika ulimwengu wa midomo na mawazo yetu! Silence is more than the right answer! Kwanini tusiwanyamazie na tuuone mwisho wao kisiasa! Nilimtahadharisha Shonza kuwa huko alikoenda patampa ugumu kiasi kuliko huku alikokuwa katika harakati zake! Na nilimtaka maneno haya ayaweke katika kumbukumbu!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ni ukombozi gani waliokuwa wanauhubiri hawa wachumia tumbo? Historia itakuja kuwahukumu siku moja kwa usaliti wanaoufanya kwa vizazi vijavyo vya taifa hili.
 
Back
Top Bottom