Picha - Shonza/Mwampamba UVCCM - waliobaki wawafuate

Picha - Shonza/Mwampamba UVCCM - waliobaki wawafuate

Njele

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
275
Reaction score
121
308012_334538663316880_538665124_n.jpg


Waliojivika ngozi ya kondoo ndani ya CHADEMA kama akina Juliana Shonza na Mtela Mwampamba wangalipo? Hapana budi kuwaondoa warudi kwenye kundi lao kama wenzao hapa kwenye picha, Hatutaki ndumila kuniwi, wanachotafuta ni shibe si ukombozi wa Mtanzania.

CHADEMA wabaki wapiganaji wa kweli, kwani CCM wangali na oversize zisizotumiwa zinawasubiri.
 
Mbona Mchange amekuwa mkimya nini kimemkuta?
 

Kujibadilisha na kuwa kile ulichokipinga awali ni kulemaa akili.

Reagan ni miongoni mwa marais bora waliowahi kuongoza Marekani.
Tafuta muda usome historia yake jinsi alivyotoka democratic party kwenda republican na kuascend mpaka white house...
 
Reagan ni miongoni mwa marais bora waliowahi kuongoza Marekani.
Tafuta muda usome historia yake jinsi alivyotoka democratic party kwenda republican na kuascend mpaka white house...

Umeshaseama neno 'Reagan' 'Marekani'.
Hapa tunazungumzia masalia waliofokuzwa chadema, alafu tupo tanzania.
 
308012_334538663316880_538665124_n.jpg




Kutoka umakamu mwenyekiti taifa Chadema na kushika kukosa hata hadhi ya kubeba mafaili ya chama, na kinachofuatia ni kupotea ghafla kama akina Masumbuko Lamwai.

Hawajasema wanataka kupata madaraka thats one, lakini two umakamu mwenyekiti wa bavicha ambayo hata ofisi haina ulikuwa na manufaa gani kwa Juliana? Sanasana Juliana ndiye aliyekuwa anatumia kipaji chake kuinufaisha chadema....
 
Hawajasema wanataka kupata madaraka thats one, lakini two umakamu mwenyekiti wa bavicha ambayo hata ofisi haina ulikuwa na manufaa gani kwa Juliana? Sanasana Juliana ndiye aliyekuwa anatumia kipaji chake kuinufaisha chadema....
shoza amesema anataka kuwa mbunge wa ubungo 2015.
huwa unasinzia kwenye mikutano yenu kama wasira??
 
Back
Top Bottom