Mkuu, tatizo sijaaminisha kuwa nani yupo na uwezo mkubwa au mdogo genetically. Nimejaribu kustate FACTS, kuwa kuna tofauti ya GENES, ambayo hiyo tofauti (less than 1%) ndio inafanya binadamu kuwa tofauti. Ndio maana wengine wanakuwa na akili zaidi, na nguvu, speed, kuelewa mambo haraka. These are FACTS, angalia history, ni FACTS kuwa Marecan na Europe waliendelea kabla yako. Unabishana na FACTS?
The best way kutoka katika mental slave ni kuaccept the facts, then endelea ku advance na mambo mengine.
"ki mwanafunzi cha chuo kikuu mwaka wa pili" Weka heshima kidogo kuliko dharau unapo taka kujenga hoja.... Looks like I'm at a wrong place!!! I'm at JF, home of great thinkers?