Akili ndogo za Bavicha
bavicha ndiyo wamemtengea kiti cha send off?
Akili ndogo za Bavicha
![]()
hii picha kila nikiiangalai na nikimuangalia mh smuel sitta anavyowaangalia wenzake kwa hasira baada ya kumtenga kwenye majani na kwenye kiti cha peke yake wenzake wako kwenye red carpet roho inaniuma ,kama mbwai mbwai tu na ndoa ivunjike
acha upogoro!
huyo mama ndio alistahili kukaa kwenye kichaka na kiti cha send off
Wabongo kwa kushabikia mambo ya kipumbavu mmeshinda.
,......kapewa kiti cha sendoff!
hahaha!!! unajipendekeza kwa watu hawakupendi!!!!?? yani hata hicho kiti hakiendani na wenzake, kajilazimishia.
we unaona huu ni upumbavu kukalishwa kwenye majani na kiti cha bar unaona ni kitu cha kipumbavu hapa uzalendo kwanza wametudhalilisha
![]()
Hii picha kila nikiiangalai na nikimuangalia Mh Smuel Sitta anavyowaangalia wenzake kwa hasira baada ya kumtenga kwenye majani na kwenye kiti cha peke yake wenzake wako kwenye red carpet roho inaniuma ,kama mbwai mbwai tu na ndoa ivunjike
hahaha!!! na bado, utasema kila kitu.Jamani Mbwai mbwai ni wasambaa, mimi niko Lushoto wala sio wapogoro
kabisa mkuu nakuunga mkono tunahitaji viongozimasikini jeuri mambo ya kubembelezana kwenye masuala ya kimataifa sio jadi yetu watanzaniaFOR THOSE WHO FEEL THE COUNTRY THIS IS VERY PAINFUL......
Japo nina machungu yangu dhidi ya Mzee Wetu huyu SITA na BUNGE la KATIBA kwa hili NAFEEL NI MIMI MWENYEWE, NA KAMA KAFANYIWA MTANZANIA YOYOTE YULE TOKA Magagura Songea, Mpaka Nyamongo Tarime Mara, Na kutoka Mwika Marangu Kilimanjro Mpaka Kanyigo Bukoba.
OUR FORE FATHERS WALITUACHIA TAIFA LENYE HESHIMA SANA KIMATAIFA-Mwalimu anasema mikutano ya UMOJA WA MATAIFA Mtanzania alikuwa akikaribia kuhutubia Wasikilizaji walikuwa wanasita kwenda kuvuta Sigara wanakaa kusikiliza Mtanzania huyo atasema Nini?Leo hii ni haya ya Mzee Sita.
Leo tuko hapa EAST AFRICA Mzee Sita mwakilishi wetu kawekwa kama MVAMIZI WA JAMBO LISILO MUHUSU...
DO WE NEED THEM THAN THEY NEED US!!!!..............Kama Mtanzania Nimejiona Nafasi Yangu Kwenye EAC kupitia PICHA HIYO YA SITA.
Wachina wansema A PICTURE SPEAKS A THOUSANDS WORDS............Picture hii Imeongea Maneno Maelfu Kwa Watanzania.
TULIPOFIKA ....MUNGU PANATOSHA.