Hili jambo lina kitu nyuma yake, siyo bure.

Toka mwanzo limekuwa kama halikuwa tukio la kustua kabisa.

Ni kama wanasubiri lipowe kabisa na watu wasahau kwamba halikutokea.

Huyu 'Maza Mizinguo' nimeshamwona ni mtu wa 'mission mission' za chini chini. Nchi ikitulia vizuri, huyu anazo dalili za upigaji mkubwa sana, hasa kwa ndugu zake na watu walio karibu naye.

Kabisa, ameshajua nchi ni shamba la bibi, hivyo anaendelea kutengeneza genge lake la walaji, ndio maana wanamshauri anyamazishe watu.
 
Fisadi n mkwele ndiyo mshauri wake ila tumepatana chochote tunacho panga kikibuma lawama tutazipeleka kwa hayati Magufuli

Uzuri tunajua wapo na Magufuli, na wapi atakuwa yeye.
 
Kulazimisha kukamilisha makao makuu Dodoma ulikuwa uamuzi wa kukurupuka wa yule mshamba na dikteta uchwara aliyekufa kifo cha kizembe kwa kuendekeza ushirikina kwenye korona
Wewe utakufa unaahangaikia roho yako isitoke.maana sio mshamba.
 
  • Dislike
Reactions: G4N
Kikao kimefanyika Dar tena sio Ikulu ya Dodoma!??

Daah.....!!!
Hii hata mimi nimeshangaa sana kama wizara zote zipo Dom kuna haja gani ya kufanya kikao Dar...!!?
Manake hapo waziri anahesabika yupo nje ya kituo cha kazi lazima alipwe per diem....
 
Swali lake la msingi ni kwamba-Kwa nini serikali ilitumia kodi yake vibaya kujenga ikulu nyingine Dodoma na kulipa wafanyakazi pamoja na gharama nyingine wakati ikijua haina utashi wa dhati na jambo hilo?
Nimeishi Dodoma si chini ya miaka 25.
Nimeishi DSM si chini ya miaka 25.
Nimesafiri sana barabara ya Dodoma - Moro - Dar, lakini sijawahi ona barabara ipo busy na mavieitee kama awamu hii.
Hizi gharama ni kodi za Watanzania ambazo zingeweza kupeleka maji safi na salama pale Chato na Tanzania nzima.
Bado maamuzi ya mtu mmoja yanaathiri mamilioni ya Watanzania.
Kuna ulazima wa hizi safari za Dom - Dar!?
 
Mkuu unawaza kama mimi,nashangaa sana namna tunavyoweka mambo yetu,hapo ndipo kikao cha baraza la mawaziri kinafanyikia yaani dah..

Tazama ziara ya Rwanda juzi wale jamaa masuala ya itifaki wanayajua kweli kweli,ila bongo kweli nyoso..

Eti hapo aiyefanya kazi kinyonge hivyo naye analipwa kuwa ikulu. Dah
 
Yaani ndugu yangu, hapo gharama zote hizo za viongozi wa serikali kuishi na kufanya kazi miji miwili, si ndio maana wananchi mmeambiwa mlipie zaidi kupitia hizo wanazoziita ' tozo' .........poleni na muendelee kula mtori na nyama mtazikuta chini na mkubali tu yaishe...
Hii hata mimi nimeshangaa sana kama wizara zote zipo Dom kuna haja gani ya kufanya kikao Dar...!!?
Manake hapo waziri anahesabika yupo nje ya kituo cha kazi lazima alipwe per diem....
 
Naona waziri Hussein Mwinyi yupo na PM na senior Lukuvi hapo.

Mama aliwahi kuendesha kikao hicho enzi za JPM na Hussein akiwa kakaa pembeni ya PM hivyo yani.

Asipokuwepo Raisi, Makamu, WM, basi kikao kitaendeshwa na Lukuvi, Hussein akiendelea kukaa hapo hapo sio?

Zanzibar inaongozwa na raisi au waziri wa serikali ya JMT? Kikao hicho kinazungumzia mambo ya Muungano tu au hata na yale yasio ya muungano?

Kwanini kwenye bunge la JMT, ZNZ ingekuwa inawakilishwa na spika wa baraza lao pengine na makamu wa huko kwao?

Kwanin kwenye bunge la JMT kusingekuwa na session ya kujadili mambo ya muungano ambapo wawakilishi wa Znz wanakuwepo, session ikiisha wajikatae?

Hata sielewi, ndo mnasema tunatakiwa kupata Katiba nyingine ili niweze kuelewa?
Hakuna namna ya kukusaidia
 
Back
Top Bottom