wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Hii ndiyo kazi ya hizi tozo za miamala. Na mwaka ujao tutaziongeza mara mbili.Nadhani nchi sasa inaingia gharama kubwa sana kusafirisha watu dodom dar
Hii ndiyo kazi ya hizi tozo za miamala. Na mwaka ujao tutaziongeza mara mbili.Nadhani nchi sasa inaingia gharama kubwa sana kusafirisha watu dodom dar
Sasa mbona hata hapo ktk kikao wao barakoa hawatumii........hizi siasa za bongo pasua kichwa....wana kimbia covid-19, wanasema dodoma hali mbaya.
Hili jambo lina kitu nyuma yake, siyo bure.
Toka mwanzo limekuwa kama halikuwa tukio la kustua kabisa.
Ni kama wanasubiri lipowe kabisa na watu wasahau kwamba halikutokea.
Huyu 'Maza Mizinguo' nimeshamwona ni mtu wa 'mission mission' za chini chini. Nchi ikitulia vizuri, huyu anazo dalili za upigaji mkubwa sana, hasa kwa ndugu zake na watu walio karibu naye.
Fisadi n mkwele ndiyo mshauri wake ila tumepatana chochote tunacho panga kikibuma lawama tutazipeleka kwa hayati Magufuli
Wewe utakufa unaahangaikia roho yako isitoke.maana sio mshamba.Kulazimisha kukamilisha makao makuu Dodoma ulikuwa uamuzi wa kukurupuka wa yule mshamba na dikteta uchwara aliyekufa kifo cha kizembe kwa kuendekeza ushirikina kwenye korona
Hii hata mimi nimeshangaa sana kama wizara zote zipo Dom kuna haja gani ya kufanya kikao Dar...!!?Kikao kimefanyika Dar tena sio Ikulu ya Dodoma!??
Daah.....!!!
hii nchi viongz Wana tuletea ma drama aseeHii hata mimi nimeshangaa sana kama wizara zote zipo Dom kuna haja gani ya kufanya kikao Dar...!!?
Manake hapo waziri anahesabika yupo nje ya kituo cha kazi lazima alipwe per diem....
That's the only thing you are good at!!Mle mamako
USSR
Nimeishi Dodoma si chini ya miaka 25.Swali lake la msingi ni kwamba-Kwa nini serikali ilitumia kodi yake vibaya kujenga ikulu nyingine Dodoma na kulipa wafanyakazi pamoja na gharama nyingine wakati ikijua haina utashi wa dhati na jambo hilo?
Mkuu unawaza kama mimi,nashangaa sana namna tunavyoweka mambo yetu,hapo ndipo kikao cha baraza la mawaziri kinafanyikia yaani dah..
Tazama ziara ya Rwanda juzi wale jamaa masuala ya itifaki wanayajua kweli kweli,ila bongo kweli nyoso..
Hii hata mimi nimeshangaa sana kama wizara zote zipo Dom kuna haja gani ya kufanya kikao Dar...!!?
Manake hapo waziri anahesabika yupo nje ya kituo cha kazi lazima alipwe per diem....
Hakuna namna ya kukusaidiaNaona waziri Hussein Mwinyi yupo na PM na senior Lukuvi hapo.
Mama aliwahi kuendesha kikao hicho enzi za JPM na Hussein akiwa kakaa pembeni ya PM hivyo yani.
Asipokuwepo Raisi, Makamu, WM, basi kikao kitaendeshwa na Lukuvi, Hussein akiendelea kukaa hapo hapo sio?
Zanzibar inaongozwa na raisi au waziri wa serikali ya JMT? Kikao hicho kinazungumzia mambo ya Muungano tu au hata na yale yasio ya muungano?
Kwanini kwenye bunge la JMT, ZNZ ingekuwa inawakilishwa na spika wa baraza lao pengine na makamu wa huko kwao?
Kwanin kwenye bunge la JMT kusingekuwa na session ya kujadili mambo ya muungano ambapo wawakilishi wa Znz wanakuwepo, session ikiisha wajikatae?
Hata sielewi, ndo mnasema tunatakiwa kupata Katiba nyingine ili niweze kuelewa?
Mbunge wa viti maalum asikuumize kichwaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
View attachment 1884186
Kweli ni usumbufu pia gharama, mambo ya kukurupuka ndio matokeo yake.Nadhani nchi sasa inaingia gharama kubwa sana kusafirisha watu Dodoma Dar
Dodoma Zanzibar ni mbali mno mweeNadhani nchi sasa inaingia gharama kubwa sana kusafirisha watu Dodoma Dar
Dodoma Zanzibar ni mbali mno ati.Nadhani nchi sasa inaingia gharama kubwa sana kusafirisha watu Dodoma Dar