Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Nadhani nchi sasa inaingia gharama kubwa sana kusafirisha watu Dodoma DarKikao kimefanyika Dar tena sio Ikulu ya Dodoma!??
Daah.....!!!
Kulazimisha kukamilisha makao makuu Dodoma ulikuwa uamuzi wa kukurupuka wa yule mshamba na dikteta uchwara aliyekufa kifo cha kizembe kwa kuendekeza ushirikina kwenye koronaNadhani nchi sasa inaingia gharama kubwa sana kusafirisha watu dodom dar
Elezea tuelewe Acha janjajanjaKila angle. Wewe unaona kuna angle kafaulu?? Hatuna rais hapo. Tuna maushungi tu
Huyu mama kapoteza sifa yake kwa namna ambayo kuna muda huwa nikikaa namsikitikia sana. Alianza vizuri mno mno.Kila angle. Wewe unaona kuna angle kafaulu?? Hatuna rais hapo. Tuna maushungi tu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam. https://t.co/Nm1ct3TGZi
View attachment 1884186
Kuruhusu kushauriwa na lile genge la yule mtawala muovu.Huyu mama kapoteza sifa yake kwa namna ambayo kuna muda huwa nikikaa namsikitikia sana.Alianza vizuri mno mno.
Daah! Mkuu una uchungu hatari. Tatizo katiba mbovu.Naona waziri Hussein Mwinyi yupo na PM na senior Lukuvi hapo.
Mama aliwahi kuendesha kikao hicho enzi za JPM na Hussein akiwa kakaa pembeni ya PM hivyo yani.
Asipokuwepo Raisi, Makamu, WM, basi kikao kitaendeshwa na Lukuvi, Hussein akiendelea kukaa hapo hapo sio?
Zanzibar inaongozwa na raisi au waziri wa serikali ya JMT? Kikao hicho kinazungumzia mambo ya Muungano tu au hata na yale yasio ya muungano?
Kwanini kwenye bunge la JMT, ZNZ ingekuwa inawakilishwa na spika wa baraza lao pengine na makamu wa huko kwao?
Kwanin kwenye bunge la JMT kusingekuwa na session ya kujadili mambo ya muungano ambapo wawakilishi wa Znz wanakuwepo, session ikiisha wajikatae?
Hata sielewi, ndo mnasema tunatakiwa kupata Katiba nyingine ili niweze kuelewa?
Unatesekea ukiwa wapi, ulitaka mama yako ndio awe raisMaushungi kashindwa kazi. Nchi ni kama haina rais vile .
Who cares?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam. https://t.co/Nm1ct3TGZi
View attachment 1884186
Kuna mwanazuoni aliwahi kusema madaraka ni ulevi kama ulevi mwingine, hivyo madaraka hulevya.Huyu mama kapoteza sifa yake kwa namna ambayo kuna muda huwa nikikaa namsikitikia sana.Alianza vizuri mno mno.
Ingekuwa Dodoma inakusaidia nini? La maana nchi imetulia serikali inaendeshwa hata ingekuwa Mtwara sawa tu.Kikao kimefanyika Dar tena sio Ikulu ya Dodoma!??
Daah.....!!!
Dar sio ikulu?Kikao kimefanyika Dar tena sio Ikulu ya Dodoma!??
Daah.....!!!