namibia

Namibia ( (listen), ), officially the Republic of Namibia, is a country in Southern Africa. Its western border is the Atlantic Ocean; it shares land borders with Zambia and Angola to the north, Botswana to the east and South Africa to the south and east. Although it does not border Zimbabwe, less than 200 metres of the Zambezi River separates the two countries. Namibia gained independence from South Africa on 21 March 1990, following the Namibian War of Independence. Its capital and largest city is Windhoek, and it is a member state of the United Nations (UN), the Southern African Development Community (SADC), the African Union (AU), and the Commonwealth of Nations.
Namibia, the driest country in Sub-Saharan Africa, was inhabited since early times by the San, Damara and Nama people. Around the 14th century, immigrating Bantu peoples arrived as part of the Bantu expansion. Since then, the Bantu groups, the largest being the Ovambo, have dominated the population of the country; since the late 19th century, they have constituted a majority.
In 1878, the Cape of Good Hope, then a British colony, annexed the port of Walvis Bay and the offshore Penguin Islands; these became an integral part of the new Union of South Africa at its creation in 1910. In 1884 the German Empire established rule over most of the territory, forming a colony known as German South West Africa. It developed farming and infrastructure. Between 1904 and 1908 it perpetrated a genocide against the Herero and Nama people. German rule ended in 1915 with a defeat by South African forces. In 1920, after the end of World War I, the League of Nations mandated the administration of the colony to South Africa. It imposed its laws, including racial classifications and rules. From 1948, with the National Party elected to power, South Africa applied apartheid also to what was then known as South West Africa.
In the later 20th century, uprisings and demands for political representation by native African political activists seeking independence resulted in the UN assuming direct responsibility over the territory in 1966, but South Africa maintained de facto rule. In 1973 the UN recognised the South West Africa People's Organisation (SWAPO) as the official representative of the Namibian people; the party is dominated by the Aawambo, who are a large plurality in the territory. Following continued guerrilla warfare, South Africa installed an interim administration in Namibia in 1985. Namibia obtained full independence from South Africa in 1990. However, Walvis Bay and the Penguin Islands remained under South African control until 1994.
Namibia has a population of 2.6 million people and a stable multi-party parliamentary democracy. Agriculture, herding, tourism and the mining industry – including mining for gem diamonds, uranium, gold, silver, and base metals – form the basis of its economy. The large, arid Namib Desert has resulted in Namibia being overall one of the least densely populated countries in the world.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Rais wa Namibia Atembelea Majirani zake wa Zamani Magomeni

    Rais wa Namibia Atembelea Majirani zake wa Zamani Magomeni Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametemebelea eneo la magomeni katika nyumba aliyowahi kuishi wakati wa harakati za ukombozi wa Namibia kupitia chama cha SWAPO. Katika ziara hiyo ya kipekee iliyochanganya...
  2. R

    Kwahiyo Rais wa Namibia alikuja kubariki mauaji, hakupashwa kuja

    Ujio kama huo ni kuhalalisha yaliyotokea 29.10.2025. Mwenye nia njema hakupashwa kuja hapa.
  3. Mkalukungone Mwamba

    Tanzania na Namibia zasaini Mikataba Minne ya Ushirikiano Kuimarisha Ulinzi, Biashara na Maendeleo ya biashara ndogo na za kati

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, wameshuhudia utiaji saini wa mikataba minne ya ushirikiano kati ya Jamhuri ya Muungano waTanzania na Jamhuri ya Namibia, hatua inayotarajiwa...
  4. Zack Abdul

    Rais wa Namibia Dkt. Netumbo Nandi- Ndaitwah apokelewa ikulu jijini Dar es Salaam

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Namibia Dkt. NETUMBO Nandi- Ndaitwah, leo tarehe 20/6/2026 ikulu Jijini Dar es salaam alipowasili kwaajili ya ziara yake ya kikazi ya siku tatu yenye lengo la kuimarisha na kujadili masuala mbalimbali ya Uhusiano...
  5. H

    President of Namibia arrives for a three day state visit

    PRESIDENT OF NAMIBIA ARRIVES FOR A THREE DAY STATE VISIT The President of the Republic of Namibia, H.E. Dr. Netumbo Nandi-Ndaitwah, has arrived in Tanzania for a three-day State Visit from 19 to 21 June 2026, at the invitation of the President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia...
  6. L

    Rais Samia aendelea Kuwa Almasi Ya Dunia. Rais Wa Namibia Kutua Nchini Hapo Kesho.Wazungu nao waendelea Kupigana Vikumbo Kuomba nafasi ya Kuja

    Ndugu zangu Watanzania, Nashindwa Niandike nini hapa ,Nashindwa nimuelezee Vipi Rais Samia , Nashindwa Nizungumze Nini Nanyi Maana Rais Samia Anaendelea kuonyesha kuwa ni chaguo la Mungu , anaendelea kuonyesha Kainuliwa na kupewa kibali na Mungu Mwenyewe. Rais Samia anaendelea kuonyesha kuwa...
  7. W

    Namibia yamaliza deni lake la Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF)

    Namibia imepiga hatua kubwa ya kiuchumi kwa kulipa kikamilifu deni lake la mwisho la takriban Dola milioni 23.9 kwa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Hatua hii, inayofuatia malipo ya kihistoria ya deni la Eurobond la Dola milioni 750 mwishoni mwa mwaka 2025, inaipa nchi hiyo uhuru kamili wa...
  8. Gabeji

    Rais wa Namibia ni bora Afrika mzima

    Jamani raisi wa Namibia ndio bora ,ktk kusimia lasimali za nchi yake, cha ajabu na kushangaza ni mwanamke nimekumia sana ,nimemunea uwivu mkubwa. Nimetamani sana kama ingekuwa unaweza kuuzima rais basi Tanzania tungemchukua huyu mama ,yaani ni mzalendo. Tanzania ingekuwa kama marekani ndani ya...
  9. figganigga

    Wakati Samia akisema Deni la Tanzania ni Sitahimilivu, Namibia wamaliza deni lao

    Rais wa Namibia mwanamama Netumbo Nandi-Ndaitwah ameiongoza nchi hiyo kufikia hatua muhimu ya kiuchumi kwa kukamilisha malipo ya deni la Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Namibia imelipa jumla ya dola za Kimarekani milioni 23.9, hatua inayolenga kupunguza mzigo wa madeni ya nje na kuimarisha...
  10. Waufukweni

    Namibia yapunguza kodi ya mafuta kwa 50%

    Serikali ya Namibia kupitia Waziri wa Nishati na Madini, Modestus Amutse wamepunguza kodi ya Mafuta kwa asilimia 50 ili Makampuni yasipandishe bei ambapo itaumiza Wananchi, Amutse ametoa tangazo hilo tangu Machi 27 ambapo unafuu wa Kodi utadumu kwa miezi mitatu wakati ambao wanasikilizia hali ya...
  11. Mhaya

    IShowSpeed asitisha Tour yake Nchini Namibia

    Nyota wa YouTube kutoka Marekani, IShowSpeed, amefutia ratiba ya ziara yake nchini Namibia kama sehemu ya safari yake ya “Speed Does Africa”, baada ya mamlaka za anga kushindwa kutoa vibali vinavyohitajika kwa wakati, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Namibia. Ziara iliyopangwa kufanyika...
  12. mcTobby

    Hivi yule mama wa Namibia naye alituma salamu za pongezi?

    Yaani namaanisha kama mwanamke mwenzake alituma Salam za pongezi . Au ndio ile wanawake hawapendani?
  13. Analogia Malenga

    Namibia yatoa somo la nidhamu ya fedha. Je, wamejiandaa na changamoto za kuathiri akiba ya fedha za kigeni?

    Namibia imekuwa mfano kwa jinsi nchi inavyoweza kuonyesha nidhamu ya kifedha kwa vitendo. Hatua ya hivi karibuni ya serikali ya Namibia kulipa deni la Eurobond lenye thamani ya dola milioni 750 imeweka rekodi kama ulipaji mkubwa zaidi wa deni katika historia ya taifa hilo. Kwa hatua hiyo...
  14. Tawire

    Msaada Mtanzania Anayeishi Namibia.

    Habari za wakati huu wanajukwaa? Naomba kupata mawasiliano ya Mtanzania anayeishi nchini Namibia,Kuna jambo la muhimu naomba kumshirikisha ili niweze kupata ushauri stahiki. Kama yupo yeyote hapa,tafadhali naomba tuwasiliane kwa Direct Message (DM). Naomba kuwakilisha.
  15. Ojuolegbha

    Waziri Kombo ashiriki Maadhimisho ya Miaka 35 ya Uhuru wa Namibia, Atoa Wito wa Umoja kwa Maendeleo ya Afrika

    Waziri Kombo ashiriki Maadhimisho ya Miaka 35 ya Uhuru wa Namibia, Atoa Wito wa Umoja kwa Maendeleo ya Afrika Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki katika Maadhimisho ya Miaka 35 ya Uhuru wa Namibia, ambapo ametoa wito kwa...
  16. L

    Ushirikiano wa masuala ya bahari kati ya Namibia na China umepata maendeleo makubwa

    China ni nchi kubwa inayoendelea ambayo imekuwa na ushirikiano wa karibu na nchi nyingine zinazoendelea, zikiwemo za Afrika. Ushirikiano huu unajumuisha sekta mbalimbali ikiwemo elimu, uchumi na biashara, utamaduni, ujenzi wa miradi mikubwa ya miundombinu, na pia mabadilishano ya watu na watu...
  17. BLACK MOVEMENT

    Dar ilipaswa kuwa jiji linalotoa Wabunge vichwa sana ila hali ni tofauti na Majiji mengine ilimwenguni

    Majiji makuu mengi hasa Africa huwa yana Wabunge moto sana na hii ni kwa sababu huwa ndio kitovu cha upinzani na pia ndio kumejaa Wasomi na watu waelewa wenye information zote. Ila sasa njoo Dar ambako Jiji lina Wabunge Vilaza sana kuzidi hata huko mikoani, mtu kama Talimba eti ni Mbunge...
  18. The Watchman

    Namibia: Waziri wa kilimo afukuzwa kazi kwa tuhuma za ubakaji msichana wa miaka 16

    Waziri wa Kilimo wa Namibia, Mac-Albert Hengari, amefukuzwa kazi baada ya kutuhumiwa kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 16 miaka mitano iliyopita. Kwa mujibu wa polisi, Hengari alikamatwa siku ya Jumamosi baada ya kudaiwa kujaribu kumhonga mlalamikaji, ambaye sasa ana umri wa miaka 21, ili...
  19. and 998 others

    Marais A/Kusini, Namibia, Zambia Botswana hawakuhudhuria mazishi ya Papa Vatican. Tuna la kujifunza?

    1. Marais kadhaa wa wanachama wa SADC (Botswana, Zambia, Namibia , Afrika Kusini) wapo bize nchini mwao wakipambania wananchi wao wawe na maisha Bora. 2. Badala ya kwenda kuteketeza mamilioni kwa safari ambazo hata Balozi zao waliopo Rome wangeweza kuwakilisha.
  20. Yoda

    Namibia yawa taifa la kwanza Afrika kuwa na Serikali ya mfumo jike

    Rais wa Namibia, makamu wa Rais na mawaziri wa wizara nyeti zikiwemo za fedha, mambo ya nje, mambo ya ndani, usalama na uhamiaji wote ni wanawake!
Back
Top Bottom