evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,980
- 9,928
Yaani mwalimu aamue kujenga nyumba ya kuishi kijijini huko alipopangiwa kufanya kazi muda wowote anaweza kuhamishwa.Tukosoe kwa hoja si kishabiki
Mwalimu akiishi kwenye nyumba kama hiyo, ni upumbavu wake
Hata wapishi wa shule hawaishi kwenye kibanda kama hicho
Hela ya posho anayopewa 250k pekee akiamua awekeze miaka miwili tu anapata sehemu nzuri ya kujistiri kwa maisha ya kijijini
Pia ana fursa ya mikopo
Tumkosoe SSM kwa mengine ila sio hilo
Huko bariadi itilima walimu wanaishi nyumba kama hizo wengi wapo na mishe za uamisho .
Kama wameweza kujenga shule kwa nini wanashindwa kujenga nyumba nzuri za kuishi walimu.
Wote wanaosema sijui huyo samia hadaiwi ni wanafki