Picha: Nyumba kali ya Mwl Mkuu Itilima; ''Mama hatumdai''

Picha: Nyumba kali ya Mwl Mkuu Itilima; ''Mama hatumdai''

Tukosoe kwa hoja si kishabiki

Mwalimu akiishi kwenye nyumba kama hiyo, ni upumbavu wake

Hata wapishi wa shule hawaishi kwenye kibanda kama hicho

Hela ya posho anayopewa 250k pekee akiamua awekeze miaka miwili tu anapata sehemu nzuri ya kujistiri kwa maisha ya kijijini

Pia ana fursa ya mikopo

Tumkosoe SSM kwa mengine ila sio hilo
In meanwhile Waziri ambaye ana mshahara mkubwa na posho zaidi ya 250k anapewa gari nyumba na incentives zingine?

Ila mwalimu ambaye posho yake ni 250k ndio ajibane ajenge huko porini?

Umetukumbusha tukosoe kwa hoja….
 

Nyumba ya Mwalimu Mkuu, Shule ya Msingi Dasina, Kata ya Nkoma, Jimbo la Itilima Mkoa wa Simiyu.

Hakika Mama Hatumdai ila yeye ndio anaeyetudai..
Kamjengee wewe, we ngedere endelea kuokoteza vipicha vyako havitamrudisha Rais nyuma. Hiyo itakuwa nyumba ya babako. Majengo ya shule yako wapi hapo? We bi bwege flani tu
 
Kamjengee wewe, we ngedere endelea kuokoteza vipicha vyako havitamrudisha Rais nyuma. Hiyo itakuwa nyumba ya babako. Majengo ya shule yako wapi hapo? We bi bwege flani tu
Chawa unatoa milio ukiwa wapi ?
 
Back
Top Bottom