SUTU BUTUGURI
Member
- Mar 8, 2011
- 22
- 3
Hongera babu wa Loliondo. Nakushauri, ongeza bei maana baishara imechanganya; soko huria bwana.
View attachment 24616
View attachment 24617
View attachment 24618
View attachment 24620
View attachment 24621
View attachment 24622
View attachment 24623
View attachment 24624
View attachment 24626
Wandugu mpaka jana kwenda Loliondo kwa basi ilikuwa ni Tshs 80,000.00 toka 35,000.00 kwenda na kurudi. Cruiser ni kati ya Tshs 100,000.00 - 150,000.00 na basi three days before uwe umeshakata tickets yako vinginevyo itakula kwako.
Mimi nadhani badala ya wizara kufanyia utafiti dawa hiyo, kitu ambacho majibu yake yatakuwa sintofahamu, ingefanya yafuatayo;
-Kuchunguza miongoni mwa waliokuwa wagonjwa wa maradhi tajwa na kujiridhisha kwamba wamepona au la,
-kuwafanyia uchunguzi watu hao ili kujiridhisha kwamba hakuna side effects in future hata kama sasa wamepona,
-kushirikiana na serikali wilayani loliondo kuboresha mazingira ya eneo la Mchungaji ili dawa itolewe katika mazingira safi na salama.
Sahara Voice;Mimi nadhani badala ya wizara kufanyia utafiti dawa hiyo, kitu ambacho majibu yake yatakuwa sintofahamu, ingefanya yafuatayo;
-Kuchunguza miongoni mwa waliokuwa wagonjwa wa maradhi tajwa na kujiridhisha kwamba wamepona au la,
-kuwafanyia uchunguzi watu hao ili kujiridhisha kwamba hakuna side effects in future hata kama sasa wamepona,
-kushirikiana na serikali wilayani loliondo kuboresha mazingira ya eneo la Mchungaji ili dawa itolewe katika mazingira safi na salama.
anaungana na DR Slaa padri
haaaa huyu ndo bi sofi?????:a s 13::a s 13::a s 13:bi sophia simba uko na huku?
anaungana na DR Slaa padri
Sheikh wako Yahya jana alionekana usiku ndani ya ungo akivinjari Loliondo....karibu wamuuwe wananchi kwa kuwanga
kwani ndo mke wake padri?
Sheikh wako Yahya jana alionekana usiku ndani ya ungo akivinjari Loliondo....karibu wamuuwe wananchi kwa kuwanga
kwani ndo mke wake padri?
Wewe ndo mke wake.kwani ndo mke wake padri?
Kwahivo Rev. Masanilo ameomba ban ili afike kwa Babu?
Kwahivo Rev. Masanilo ameomba ban ili afike kwa Babu?
anaungana na DR Slaa padri