Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 26,362
- 39,842
Komando aliyekamatwa na Kingai ni mwenye weledi wa hali ya juu. Ana akili sana za kimedani ujueTanzania limejaa wajeda goigoi, komando anadakwa na Kingai, hii ni aibu ya karne
Komando aliyekamatwa na Kingai ni mwenye weledi wa hali ya juu. Ana akili sana za kimedani ujueTanzania limejaa wajeda goigoi, komando anadakwa na Kingai, hii ni aibu ya karne
Hy
Huyu nae ninani?
Basi Kingai ni mkuu wa majeshi yote AfricaKomando aliyekamatwa na Kingai ni mwenye weledi wa hali ya juu. Ana akili sana za kimedani ujue
HehehehBasi Kingai ni mkuu wa majeshi yote Africa