Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 38,272
- 24,856
Ndugu zangu Watanzania,
Hiyo ni Kauli nzito iliyotolewa na Mkuu wa Majeshi Ya Tanzania.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob Mkunda, amesema Taifa imara halijengwi na Watu wanaojihusisha na vitendo vya utapeli, ugomvi, uhalifu na uvunjifu wa sheria, huku akisisitiza kuwa maendeleo ya Nchi yanategemea uwepo wa Wananchi wenye maadili mema.
Jenerali Mkunda ametoa kauli hiyo leo Juni 5, 2026 wakati wa uzinduzi wa jengo la ghorofa la kusomea Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Makongo, Jijini Dar es salaam ambapo amesema Vijana wanapaswa kupewa elimu bora itakayowajengea uwezo wa kuwa raia wema na kuchangia maendeleo ya Taifa badala ya kujiingiza katika vitendo vinavyohatarisha usalama na ustawi wa Jamii.
“Jengeni moyo wa kizalendo wa kuhakikisha Taifa letu linaloelekea kuwa huru, imara na kuheshimika kwa miaka elfu ijayo,”amesema Jenereli Mkunda.
Kazi iendelee, kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania Wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo ni Kauli nzito iliyotolewa na Mkuu wa Majeshi Ya Tanzania.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob Mkunda, amesema Taifa imara halijengwi na Watu wanaojihusisha na vitendo vya utapeli, ugomvi, uhalifu na uvunjifu wa sheria, huku akisisitiza kuwa maendeleo ya Nchi yanategemea uwepo wa Wananchi wenye maadili mema.
Jenerali Mkunda ametoa kauli hiyo leo Juni 5, 2026 wakati wa uzinduzi wa jengo la ghorofa la kusomea Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Makongo, Jijini Dar es salaam ambapo amesema Vijana wanapaswa kupewa elimu bora itakayowajengea uwezo wa kuwa raia wema na kuchangia maendeleo ya Taifa badala ya kujiingiza katika vitendo vinavyohatarisha usalama na ustawi wa Jamii.
“Jengeni moyo wa kizalendo wa kuhakikisha Taifa letu linaloelekea kuwa huru, imara na kuheshimika kwa miaka elfu ijayo,”amesema Jenereli Mkunda.
Kazi iendelee, kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania Wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.