mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
Tatizo lenu CHADEMA mmefukuza wasomi wote mashudu,hamuwezi kufikiri tena.Mbona hata hicho kipeperushi cha majungu cha DJ MBOWE Tanzania Daima kinaandika.[/QUOTWe boya hela zitawatokea puani hizo....ccm unataka kumtoa madarakani huyo huyo akushabikie na akupe promo kwenye vyombo vyake vya habari..we kweli boya na zero kama huo mchezo huujui au na wewe ni mmoja wa wafaidika wa fedha toka ccm ...niunganishe na mimi mwaka wa kupiga hela huu