Picha: Mkutano ACT Singida

Picha: Mkutano ACT Singida

Kilaza said:
wakijibu hili swali mods nipigeni ban
Hivi ni LAZIMA Watanzania Wote wawe na kadi za vyama?Nauliza Tu.

.
 
Hongera Zitto kwa ACT yako kuukubaliwa kirahisi na vyombo vya DOLA,si msajili wa vyama wala polisi wote wamekukubali Zitto.Mikutano yako inaruhususiwa kufika hata saa mbili usiku.Nafikiri hata vibali unavyo permanent mfukoni.Vyama vya upinzani vingine havina fursa hiyo.
 
Kinambeu said:
Kiingereza ndugu yangu Alliance siyo ulivyoandika Wewe hakuna mmakonde zuzu ulisoma wapi Mnyambe Sec? Pole sana Au Kitangari?
Hahaha.Mkuu hawa BAVICHA ni hatari,na Wa aina hii ndo wanaotakiwa na DJ MBOWE.Anachotaka ni kuongeza RUZUKU tu.Wasomi hawatakiwi CHADEMA....
 
Hawa vibaraka bwana picha zinaungwa ungwa ionekane kuna watu....huko watu ni jobless mikutano ya siasa ni sehemu ya viburudisho kwao ...ukitaka kuprove nenda angalia wanaohamasika na hcho chama utakuta hawazd hata 10 wengine wanashangaaa tuuu....tofauti uende kwenye mikutano ya wengine uone
 
mikutano ya kifala hyo ya kufata lami sjui mwigulu kawapa hela hazitoshi
 
daud magigo said:
Hongera Zitto kwa ACT yako kuukubaliwa kirahisi na vyombo vya DOLA,si msajili wa vyama wala polisi wote wamekukubali Zitto.Mikutano yako inaruhususiwa kufika hata saa mbili usiku.Nafikiri hata vibali unavyo permanent mfukoni.Vyama vya upinzani vingine havina fursa hiyo.
Acheni MAANDAMANO,FUJO,MATUSI na MAJUNGU.Fuateni sheria za nchi ambazo wabunge wenu wameshiriki kuzitunga.MTAKUWA HURU.Kumbuka hata MWL JK NYERERE na TANU yake walikuwa wapinzani....
 
Vijana wa mitandaoni naona mmeongezeka sana, mkuu wenu kaomba mil 700 muwe wengi zaidi mpambane kutetea wasàliti.
 
Hawa nadhani wameondokana na ile kuandaa kadi feki za vyama vingine zionekane zimerudishwa kumbe ...

Niñachokiona ni kwamba ZZK kabadilisha sana zile siasa za ACT kabla hajajiunga kwa maana ya siasa za kushindana na vyama vingine.

Ile kuchelewa kuungana na wenzake imemsaidia kutambua madhara ya siasa za majitaka. Amejikita zaidi kwenye siasa za nguvu y hoja.

Akiendelea hivi atawapata wengi hasa wale wasiopenda siasa za misuli, ingawa Kazi bado anayo na muelekeo sahihi wa hiki chama utajulikana July through September.
 
Hawa vibaraka bwana picha zinaungwa ungwa ionekane kuna watu....huko watu ni jobless mikutano ya siasa ni sehemu ya viburudisho kwao ...ukitaka kuprove nenda angalia wanaohamasika na hcho chama utakuta hawazd hata 10 wengine wanashangaaa tuuu....tofauti uende kwenye mikutano ya wengine uone

Hivi hujionei aibu mtu mzima kuongea maneno ya kitoto mbele ya wanaume?
 
Wachaga wenzangu wa CHADEMA, sasa tufanyeje? Mbona kama SACCOS yetu iko hatarini kutoweka?
 
Back
Top Bottom