mkuu hakuna hata mmoja hata ukiziunganisha akili zao wote hawawezi kufikia zitto. ...zitto ni engine bwana.
Akili ya Zitto ni zaidi ya viongozi na wanachama wote wa Chadema kwa pamoja
mkuu hakuna hata mmoja hata ukiziunganisha akili zao wote hawawezi kufikia zitto. ...zitto ni engine bwana.
hivi zito unaweza mlinganisha na nani kutoka chadema? me bado sijaona.
akili ya zito kama ya laki si pesa wote wapiga dili maarufu wa ccmAkili ya Zitto ni zaidi ya viongozi na wanachama wote waq
Chadema kwa pamoja
slaa x mbowe x lissu x mnyika x mtei=Zitto
Zitto anapendwa na Watanzania wote
Huyu boya ana akili nyingi sana kama zzk..hongera mzalendo kwa kuwa na akili za kiboya kama zito
Zitto kwenye ubora wake.
https://www.youtube.com/watch?v=b67Wn9lLxEEakili ya zito kama ya laki si pesa wote wapiga dili maarufu wa ccm
hongera na wewe kilaza kwa kuwa na akili ya mabadiliko kama dj mbowe
Mcheki DJ HUMU akila denda:https://www.youtube.com/watch?v=b67Wn9lLxEE
Hoja ni kupiga hela hapoo...zzk anakimbizana na mda ili fungu lingine liletwe we unapiga domo huku..ndio maana kapanga mikutano yake mfululizo ili ahalilshe kuisha kwa fungu la kwanza wampe lile kubwa la 700m...chezea zzk wewe ruvuma yote kapiga mkutano songea tuu ili akimbizane na mda wampe fungu lingine