singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
ACT mbona mnachelewa sana njooni haraka huku kiteto Magwanda yanatubana tunataka kuyavua na kuvaa uzalendo
wakijibu hili swali mods nipigeni ban
Duh Ebwana ACT ni moto....hizo nyomi balaaa mwaka huu ufipa watataga
Hahaha,Wewe kweli ni MUSSA ALLANMUSSA ALLAN said:Wachaga wenzangu wa CHADEMA, sasa tufanyeje? Mbona kama SACCOS yetu iko hatarini kutoweka?
Tunakuja kaka,usiwe na shaka...mkulimawakiteto said:ACT mbona mnachelewa sana njooni haraka huku kiteto Magwanda yanatubana tunataka kuyavua na kuvaa uzalendo
Ukombozi unakaribia kabisaaa na kwa mwendo huu lazima kuna watu wanalala na viatu.
Kimbiza kwel mnakmbza,kuna watu wanajinyea wakiona hvyo.
View attachment 243700
ACT Hawafanyi siasa za mapambano haioni haja ya kuonyesha kadi zinazorudishwa. Wala haina haja ya kutusi, au kufitini. ACT Wana ugomvi na mfumo wa kinyonyaji uliotufanya tuwe maskini
Duh Ebwana ACT ni moto....hizo nyomi balaaa mwaka huu ufipa watataga
Wangapi wamejiunga leo?