View attachment 243674View attachment 243675View attachment 243676View attachment 243678View attachment 243678
Kazi ya kufyeka pori na kusambaza Uzalendo inaendelea, Singida leo umefanyika mkutano mkubwa uliofanikiwa sana.
ACT WAZALENDOOOO
Hivi kila mtanzania lazima wawe na vyama...Donnie Charlie said:Wangapi wamejiunga leo?
Wangapi wamejiunga leo?
tuko pamoja ndugu kimbtza !!tanzania waitakayo watanzania itakuja.... #teamzzk #teamactwazalendo #proudlytanzanian #proudlypanafricanist
Haya bwana!! Tumeona ila unganeni na vyama vingine vya upinzani kama vikihiarika ili muufikie kwa urahisi ukombozi wa mtanzania wa sasa.Kura yangu ni ya upinzani ila mkiendelea kukagawanyika namna hii mtawakosesha raha wapenda mabadiliko ya kweli.
Ukiacha chadema hivi CUF inaweza pata umati huu hata awepo lipumba na seif????
Allience for Cowards and Traitors.
Hivi mnadhani huo ukombozi tutaupata lini ikiwa kila mara tunaanza upya? Napenda mageuzi lakini kwa mtindo huu Tanzania tutasubiri sana. Sioni matumaini ya ukombozi.Tunashukuru kwa kupata chama kitakacho kuja kumkomboa mtanzani na chenye misingi ya kumgusa raia wa chini. Uzalendo daima.
Allience for Cowards and Traitors.
Wamevuna wanachama elfu ngapi huko singida jamani mbona sijawahi kusikia walichovuna zaidi ya watu tu.maana hata mm wakifanya mkutano nilipo nitaenda kusikiliza Sio wao tu chama chochote ila siwezi kuwapa kura yangu
Allience for Cowards and Traitors.