Picha: Mkutano ACT Singida

Picha: Mkutano ACT Singida

October nitaona mavuno ya ustaarabu ila msije laumu ccm kama mlivolia huko kigoma serekali za mitaa ubunge ndo mtawajua ccm na ustaarabu wenu
 
ACT kila cku ww ndo unakuwa tu angalia ucvunje record make chadema kuna viongoz weny matatzo ya moyo ucjekusababisha ajari
 
Then ili kujua kama hicho
chama kina nguvu kiasi gani inabidi wapite tena humohumo walimopata hiyo
nyomi hapo ndio wajipime maudhurio yatakuwaje?

hii ya kwanza watu wanataka kumwona wakirudi tena na bado watu wakajaa kwenye mikutano yao hata mie ntaamini act ni tishio, lakini kwa sasa tunadanganyana tu
 
Zitto kwenye ubora wake.

Hawezi fikia umakini wake, hayeupo huru anatumiwa yeye ni chombo tu. Watanzania wengi watamdharau sana hasa baada ya sisiem kuja kutambua hana tija kwa kazi waliyompa. Ni kipindi hikihiki hadi kufikia uchaguzi. Tunaangalia hatua kwa hatua, twende
 
Last edited by a moderator:
Tunashukuru vijana wazalendo walimdhibiti Tundu Lissu vilivyo. Kuandaa kwake mipango yake ovyo kumekuwa bure!
 
wamekuja kumuona zitto akicheza mziki, hawajaona akifanya hivyo alipokuwa chadema.
 
Halafu una wivu ulitaka mbowe akule denda wewe amuache mkewe.....aisee kama vipi mpelekee tigo aichune kidogo mana una wivu hadi na mkewe ...hadi umekwenda kutafuta clip ya birthdei yao inaonekana umemiss mambo yake

Sio mkewe,,ni kimada mzee. Hapa tatizo ni maadili. Clip imesambaa whatsupp,,hata sio ya kutafuta. Najua imekuuma dj si mchezo,,hapo binti anatafuta ubunge viti maalum
 
Boya mwingine huyu hapa.....chama kinachopewa promo na vyombo vya habari vya serikali .....hv serikali itoe promo kwa mtu anaetaka kuiondoa eti na wewe unajidai great thinker kweli maboya wako wengi humu ndani...sijui kwanini shule za kata zilianzishwa na vyuo vya uchochoroni

Jitahidi kuficha upumbavu wako.
 
Wangapi wamejiunga leo?

Swali zuri. Isije kuwa watu wana hamu tu ya kumuona Zitto, yule mama Mwenyekiti na Afande Sele.

Inapaswa katika mikutano kama hii watu washawishiwe kujiunga kwa wingi na kuchukua/kununua kadi za chama. Pia waelimishwe umuhimu wa kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura, wakapige kura siku ikifika (watiwe moyo kwamba hata kama utasimama kwenye foleni masaa 8, wewe komaa tu) na most importantly, wasiipigie kura CCM.

Tofauti na hapa hizi zitakuwa mbwembwe tu zisizo na manufaa kama enzi zile za akina Marando na Mrema wake.
 
Kazi ya watz sisi ni kushabikia mavyama kibao lakini hatuangalii faida zake wala madhara yake mm niseme tuu ukiona nchi ina vyama zaidi ya vinne ujue hiyo nchi inamatatizo mabwa sana ya kisiasa inamaana raia wake hawawezi kuungana na kuwa na kauli moja ndio maana kila mtu ana chama chake kwa hali hii kila raia anapambana kivyake kwa maslahi yake.Tusipobadilika nchi hii haitaendelea kamwe
 
Ukiacha chadema hivi CUF inaweza pata umati huu hata awepo lipumba na seif????

Hata chadema pia wamewahi kufika Sgd mara nyingi lkn hawajawahi kuwa na mkutano uliohudhuriwa na watu wengi kiasi hiki ukiacha mkutano wa kampeni wa Dr. Slaa mwaka 2010;mwaka jana Tundu Lissu alikuja mjini akakosa watu akaanza kushutumu viongozi wa mkoa kuwa hawajaalika watu
 
Back
Top Bottom