Picha: Mkutano ACT Singida

Picha: Mkutano ACT Singida

wengine Wakiweka picha tu kama ulivyoweka huwa Zinaamishiwa Jukwaa La Picha....Ila Kwa kuwa Hizi ni za CEO zinaachwa Jukwaa la Siasa.
 
Picha 5 zimeunganishwa pamoja ili kuonesha umati!
 
Penye kuleta mabadiliko hakuna kugeuka nyuma....uzalendooo
 
Zitto hana tofauti na Lyatonga Mrema muda ni mwalimu mzuri anachokifanya sasa ni kujaribu kukisaidia CCM iendelee kubaki madarakani.
 
anatumika kama toilet paper...aisee pesa mbaya sana ...ila huu ni mwaka wa kupiga hela kutoka ccm ..ukishindwa kutoka huu mwaka usubir hadi 2020...
 
Fedha zetu za NSSF katika matumizi sahihi.
Kweli Mkuu maana MBOWE Alikopa BILLIONS za pesa NSSF Then badala ya kulipa deni anaingia makubaliano ya KIFISADI na SUMAYE na KINANA(KATIBU MKUU CCM)na kukwepa DENI.MBOWE ni KIBOKO...
 
Kweli Mkuu maana MBOWE Alikopa BILLIONS za pesa NSSF Then badala ya kulipa deni anaingia makubaliano ya KIFISADI na SUMAYE na KINANA(KATIBU MKUU CCM)na kukwepa DENI.MBOWE ni KIBOKO...

Acha umaku wewe NSSF tokalini imekuwa taasisi ya kutoa mikopo?
 
Back
Top Bottom