Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 459
Mimi naona tuendelee kutoa kipondo kwa akina Lipumba
Acha ushamba wewe,kwahio anaesifia dar hajatembea?! Sio kutembea nimeishi huko more than a decade lakini still naipenda dar
mkuu tutawaweza wapi wakati viongozi wetu wanawaza kupiga hela tu. Saizi wanaiba mala ya mwisho mwisho maana wanajua hawatarudi tena kwenye nyazifa zaoDah! hao hatuwawezi,kwa aina hii ya uongozi yaani wametuacha mbali sana.
Nimesikia LUANDA is the most expensive city in Africa na pia Watumishi wa serikali ya Angola ni among the highly paid workers in Africa.
Halafu eti tunajishaua tuliwasaidia kudai uhuru na kurudisha amani ya kudumu nchini mwao. Shame on CCM
Another thing n kua tunaangalia maendleo yaliyopigwa na wenzetu kuliko sisi kuhusu haki za binadam africa n ndoto nchi zetu hiz haki za binadam wametupa kapuni
Dar hii ya leo huwezi fananisha na Harare.Gaborone,Windoek kabisaa Dar yetu ni kama miji midogo ya nchi zingine hizi Huu mji hauna hata vile vibao vya maelekezo pale ubungo unaingia hujui unaenda airport wap unaenda city centre au mwenge nawish kama miji mingine linawekwa bango kubwa kimara au ubungo kuonyesha direction refer hzo nchi juu na sauz nimesahau wana vibao vya maelekezo.pale tazara unakua unakisia tu unaenda wap mpka uulize jaman kweli...
Achana na washamba we mikoani hao,walikuwa wanafananisha vijiji vyao na dar sasa wameshindwa wanaanza kukimbilia miji ya watu. Kesho watataka kufananisha Dar na J'burg
Kula gwala kiongoziHongereni kwa kutuonyesha "Masaki, Oysterbay, Mlimani City etc" sasa si mbaya kama mtatupa na picha za "Manzese, tandale, mwananyamala, tandika" yao
Kisiwa cha watu wenye vichwa vya nazi!
Mkuu mm ndio bado nazdi kumshangaa mtu anayezidi kukaza misuri ya shingo eti dar ni mji mzuri. Mji umejaa harufu ya madampo. Kuna miji ya wenzetu imepangika vzr sana
kama ipi dada devota ?????Wadau baadhi ya picha ni za hapa nchini msidanganywe
Airport mpya ikiendelea kujengwa
![]()
![]()
![]()
Airport itakuwa na Metro train, chini mchoro ukionyesha mfumo wa train za umeme(Metro)
![]()
hahahah ndoo hawa wanachagua mtu kwa kigezo cha kumuandalia Rais hotuba, eti kwa sababu unaanda hotuba za Rais na wewe unafaa kuwa Rais au umeandika kitabu .Mkuu watakuja wanazi hapa watakuuliza wapi manzese na tandale za luanda? Swali langu kwao, haya hizi picha ni masaki na oysterbay za luanda tutoe zetu za level hiyo hiyo nazo basi tulinganishe?