Nigeria may be experiencing political tiffs lakini kiuchumi ile nchi ni heavyweight. It is ranked 26th in the world in terms of GDP (nominal: 30th in 2013 before rebasing, 40th in 2005, 52nd in 2000), and is the largest economy in Africa (based on rebased figures announced in April 2014). It is also on track to become one of the 20 largest economies in the world by 2020. Halafu uzuri wa Nigeria ni kuwa uchumi wake uko diversified vizuri kwa hiyo hawategemei mafuta tu, sio kama nchi zingine!
Badala ya kuisema Tz vibaya tuendelee kuiombea
Kama nchi ina majengo mazuri ila inahalalisha ukatili kama huu, basi ni bora wale wanaoishi kwenye mabanda na ustaarabu wao.
Nyinyi mnauwa ALBINO kwa kuendekeza USHIRIKINA na pia mmegoma kuboresha miundombinu 50 yrs baada ya uhuru...mnaiba hela za miradi/rushwa mnaenda kuzificha Ulaya....
Nyinyi mnauwa ALBINO kwa kuendekeza USHIRIKINA na pia mmegoma kuboresha miundombinu 50 yrs baada ya uhuru...mnaiba hela za miradi/rushwa mnaenda kuzificha Ulaya....
usafiri wa umma inakuaje? sijaona mabasi.
Hao sio wageni ni wafungwa ntakuletea source. Lakin bora wao hata kama n wagen sie tumejaza wahind upanga kule mpka nyumba kupanga mamilion pfuuuu
Arusha hawawezi kuupangilia_its too late,..arusha miongoni mwa miji yenye majina makubwa lakini hamna kitu for life i.e uko shaghalabhaghala mbaya....take if from me mkuu.
Mbeya bado hawajaiharibu sana kimpangilio,..wakitaka kuipangilia they have a room pale.
Mkuu sijasema kwamba hatuna kosa. Serikali ya CCM imeshindwa kuliondoa taifa kutoka katika dimbwi la umasikini na ujinga for over 50yrs since we became independent! CCM has betrayed the very ideals on which it was founded, and has made Tanzania a typical basket case!Sisi waswahili tuna taabu sanaa....hatukosi sababu....never!! baada ya miaka 20 njoo umuulize tena huhu huyu mmenufaikaje na gesi na mmefanya nini???....atakuja na CD nyingine... Wamekalia longo longo tuuu....
wakazi wa Dar jiji la maraha simje hapa muone,maana kutwa kutunanga sisi wa nje ya Dar na kutuita wa mikoani njoo na picha za jiji lenu chafu kuanzia mipango miji hadi mazingira yanayozunguka jiji