Tuwaulize wao walienda kwa mganga yup ili na cc twende
hahahah ndoo hawa wanachagua mtu kwa kigezo cha kumuandalia Rais hotuba, eti kwa sababu unaanda hotuba za Rais na wewe unafaa kuwa Rais au umeandika kitabu .
Msemakweli ( I doubt kama jina bado linareflect tabia hapa) hatuna haja ya kutafuta mchawi , tusubiri tu pesa ya gesi na mafuta mambo yatakuwa mswano kbs.
Nimeona watu wanapanda kwa hzo bus hapo juu waaaaaaau wamepanga foleni sasa kapange folen pale mbagala bugurun au gongo la mboto kwanza bus stand manina wanauza uza sijui juice za miwa mara mitumba mara viatu sijui pale ubungo wamachinga wanauza vitu chini ya grid za umeme utamu unakuja hapa Tz hakuna place unaweza ukawa unatembea unatumia sim mana hao boda boda wapite kushoto mara kulia bas majnga
during war
![]()
![]()
post war
![]()
Pamoja na civil war za muda mrefu lakini wametuacha mbali sana sisi "kisiwa cha amani"
Nimeona watu wanapanda kwa hzo bus hapo juu waaaaaaau wamepanga foleni sasa kapange folen pale mbagala bugurun au gongo la mboto kwanza bus stand manina wanauza uza sijui juice za miwa mara mitumba mara viatu sijui pale ubungo wamachinga wanauza vitu chini ya grid za umeme utamu unakuja hapa Tz hakuna place unaweza ukawa unatembea unatumia sim mana hao boda boda wapite kushoto mara kulia bas majnga
hahahha Jestina, kwanza zile vacation zako za Singapore bado unaendaga.. Been a while, missing u alot..
Ila hapo kwenye red umenifanya nicheke kwa sauti..
Mmmh wacheka nin niko serious singapore kufanyaje..????
Mji ni msafi na umetuliaHIZI NI BAADHI YA PICHA ZA JIJI LA LUANDA NCHINI ANGOLA, NGOJA TUONE JINSI GANI WALIVOPIGA HATUA KUMBUKA HAWA ANGOLA NI MIONGONI MWA NCHI ZINAZOTOA MAFUTA KWA WINGI DUNIANI.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Duuh tafsida kidogo mkuu, wanaume wa bagamoyo wapo humu!