INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,266
Pamoja na civil war za muda mrefu lakini wametuacha mbali sana sisi "kisiwa cha amani"
wakazi wa Dar jiji la maraha simje hapa muone,maana kutwa kutunanga sisi wa nje ya Dar na kutuita wa mikoani njoo na picha za jiji lenu chafu kuanzia mipango miji hadi mazingira yanayozunguka jiji