Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

Luanda ni moja kati ya majiji ya kisasa kusini mwa jangwa la sahara...
 
Yap! Hii sasa unaweza kuiita City- Sio Dar yenu kama jalala.
Another note: Hawa jamaa walikuwa kwenye vita ya ndani kwa muda mrefu but in a short while wamepiga hatua kubwa tofauti kabisa na sisi waua albino # 1 Duniani.
 
Vipi miji mingine huko Angola....? Na kwenyewe kuko kama Luanda?
 
Yap! Hii sasa unaweza kuiita City- Sio Dar yenu kama jalala.
Another note: Hawa jamaa walikuwa kwenye vita ya ndani kwa muda mrefu but in a short while wamepiga hatua kubwa tofauti kabisa na sisi waua albino # 1 Duniani.

Kama nyinyi ndio mnaua albino, muache mara moja.
 
Waafrika kutoka nchi mbalimbali walioingia Angola kusaka maisha wanakiona cha mtema kuni, angalia video:




Hao sio wageni ni wafungwa ntakuletea source. Lakin bora wao hata kama n wagen sie tumejaza wahind upanga kule mpka nyumba kupanga mamilion pfuuuu
 
Last edited by a moderator:
Hao sio wageni ni wafungwa ntakuletea source. Lakin bora wao hata kama n wagen sie tumejaza wahind upanga kule mpka nyumba kupanga mamilion pfuuuu

Tofautisha wafungwa na ilegal immigrants under detention Jestkilla. Anyway, hata wangekuwa wafungwa hawana haki ya kuwafanyia ukatili hivi.
Je, umeona video ya pili jinsi polisi wanavyowafanyia wanawake? Huu ni unyama uliopitiliza.
 
Last edited by a moderator:
Kama nchi ina majengo mazuri ila inahalalisha ukatili kama huu, basi ni bora wale wanaoishi kwenye mabanda na ustaarabu wao.

Violence kama hiz katka nchii mbona zipo nyingi sana au kwa sababu hamzioni au kua recorded kama hivo uliza mabeki 3 wanavyopata tabu au mauaji ya albino Polisi kupiga raia bila makosa au kuua watu kama wakina mwangosi kwa risasi mchana kweupe nina video nying za domestic violence hapa Tz but ukitaka PM...!!!
 
Tofautisha wafungwa na ilegal immigrants under detention Jestkilla. Anyway, hata wangekuwa wafungwa hawana haki ya kuwafanyia ukatili hivi.
Je, umeona video ya pili jinsi polisi wanavyowafanyia wanawake? Huu ni unyama uliopitiliza.

Lakini Je umetembelea magereza yetu hapa ukaona kuna usalama Je umeona wale migrant wa kisomali ethiopia wanayokutana nayo majanga hapa kwenye magereza yetu...???
 
Last edited by a moderator:
Kama nchi ina majengo mazuri ila inahalalisha ukatili kama huu, basi ni bora wale wanaoishi kwenye mabanda na ustaarabu wao.

Another thing n kua tunaangalia maendleo yaliyopigwa na wenzetu kuliko sisi kuhusu haki za binadam africa n ndoto nchi zetu hiz haki za binadam wametupa kapuni

Dar hii ya leo huwezi fananisha na Harare.Gaborone,Windoek kabisaa Dar yetu ni kama miji midogo ya nchi zingine hizi Huu mji hauna hata vile vibao vya maelekezo pale ubungo unaingia hujui unaenda airport wap unaenda city centre au mwenge nawish kama miji mingine linawekwa bango kubwa kimara au ubungo kuonyesha direction refer hzo nchi juu na sauz nimesahau wana vibao vya maelekezo.pale tazara unakua unakisia tu unaenda wap mpka uulize jaman kweli...
 
Kama nchi ina majengo mazuri ila inahalalisha ukatili kama huu, basi ni bora wale wanaoishi kwenye mabanda na ustaarabu wao.

Hivi ndio baadhi ya vile visingizio vyetu nilivyokua navizungumzia. Mambo ya "bora tubaki hivi hivi mradi tuna amani" Sie tunaishi kwenye mabanda na ustaarabu hamna. Violence, crime zipo juu..
 
Kitu kimoja Angola maisha yako juu sana,hata Tokyo ni nafuu chakula cha hovyo tu Usd 50 na kuendelea,umasikini pia ni mkubwa hadi unatisha,ukitoka nje kidogo tu ya jiji la Luanda utashangaa kuona hali ya maisha ilivyo duni,utajiri wa mafuta umewatajirisha ruling elite &Co.
Nilichokipenda ni kuwa majengo mengi utakuta ofisi zipo chini juu utakuta makazi,yale mambo ya kutoka Kibaha kwenda kufanya kazi Temeke na kuongeza misururu ya magari barabarani ni kama haipo.
Mwisho kupata visa ya Angola ni kama unaenda kuomba visa ya Marekani au Uingereza ,hata Marekani na Uingereza uwezekano wa kupata viza zao ni mkubwa kuliko wa Angola,na bahati mbaya sana ukiwa na haya majina ya akina Omar,Hassan ,Abdulah ndio balaa.Ila Wareno walijenga bana haya majiji ya Luanda na Lorenco Maquis.
 
si jaona bodaboda wala bajaj, wala machinga mambo haya nii hapa kwetu kwani tumekosa ubunifu....kila kitu siasa na tunaamua kwa kukurupuka ....
 
Mkuu Mtu aliyetembea miji mikubwa hawez kuja hapa na kuisifia dar huyo atakuwa ametembea kwa picha

Acha ushamba wewe,kwahio anaesifia dar hajatembea?! Sio kutembea nimeishi huko more than a decade lakini still naipenda dar
 
Mkuu hela za dhahabu na almasi huwezi kulinganisha na za gesi na mafuta. Kwa makadirio ya benki ya dunia, TZ itakuwa inaingiza wastani wa dola bilioni 3 kwa mwaka (kumbuka bajeti yetu ya mwaka huu wa fedha ni dola bilioni 12)!
Halafu hela za dhahabu na almasi zilikuwa zinaingizwa moja kwa moja kwenye bajeti ya nchi (budget financing), hivyo wananchi wengi walikuwa hawaoni mafanikio yake.
Hela za mafuta na gesi huwez kufanya hivyo unless unataka kuua uchumi wa nchi. Lazima kuundwe mfuko maalum (sovereign wealth fund)

Sisi waswahili tuna taabu sanaa....hatukosi sababu....never!! baada ya miaka 20 njoo umuulize tena huhu huyu mmenufaikaje na gesi na mmefanya nini???....atakuja na CD nyingine... Wamekalia longo longo tuuu....
 
Vipi miji mingine huko Angola....? Na kwenyewe kuko kama Luanda?

Achana na washamba we mikoani hao,walikuwa wanafananisha vijiji vyao na dar sasa wameshindwa wanaanza kukimbilia miji ya watu. Kesho watataka kufananisha Dar na J'burg
 
HIZI NI BAADHI YA PICHA ZA JIJI LA LUANDA NCHINI ANGOLA, NGOJA TUONE JINSI GANI WALIVOPIGA HATUA KUMBUKA HAWA ANGOLA NI MIONGONI MWA NCHI ZINAZOTOA MAFUTA KWA WINGI DUNIANI.


MLjbudc.jpg


0iZU3P4.jpg


YZshbKI.jpg


wVURAkI.jpg


4yFP3CF.jpg


2XoxuB5.jpg


qltG0Wv.jpg


l52NfTJ.jpg


elHwwwU.jpg

Ni kweli wamepiga hatua Sana,na wametuacha mbali saana LAKINI mimi mzalendo dar ndio kila kitu kwangu!
 
Back
Top Bottom