- Thread starter
- #141
Haya ingia hapa dada devotaWadau baadhi ya picha ni za hapa nchini msidanganywe
source:
Luanda | City Gallery - Fotos da Cidade - Page 96 - SkyscraperCity
Haya ingia hapa dada devotaWadau baadhi ya picha ni za hapa nchini msidanganywe
Pamoja na civil war za muda mrefu lakini wametuacha mbali sana sisi "kisiwa cha amani"
Tanzania sisi miundombinu yetu tulishaiharibu toka enzi za kale sasa hivi hatuwezi kuwa na sehemu kama hizo hata iweje.Labda tuweke Dozer toka Kimara mpk Ferry then tuanze fresh.
Tanzania sisi miundombinu yetu tulishaiharibu toka enzi za kale sasa hivi hatuwezi kuwa na sehemu kama hizo hata iweje.Labda tuweke Dozer toka Kimara mpk Ferry then tuanze fresh.
Ngoja na sisi tuanze kupata hela za gesi....!
Ngoja na sisi tuanze kupata hela za gesi....!
ngudu yangu kw mji kama Dar huenda ikatugharim sana lakini kuna miji inayokua kwa kasi kama Mwanza,Arusha,Mbeya na Dodoma serikali ikiamua kuipangilia hii miji mapema tunaweza kuwa mara mbili ya jiji la luanda
View attachment 228170 hii sijui n bus stop sijaona wale wauza pweza au wale wamachinga wapa ga vitu chini kwenye stend ina maana hawa jamaa hata yale maji ya azam au kiloba hapo stend hayauzwi au juice ya miwa uwiiii huko sitaweza kuish bora hapa shamban kwa bibi
Mkuu hela za dhahabu na almasi huwezi kulinganisha na za gesi na mafuta. Kwa makadirio ya benki ya dunia, TZ itakuwa inaingiza wastani wa dola bilioni 3 kwa mwaka (kumbuka bajeti yetu ya mwaka huu wa fedha ni dola bilioni 12)!
Halafu hela za dhahabu na almasi zilikuwa zinaingizwa moja kwa moja kwenye bajeti ya nchi (budget financing), hivyo wananchi wengi walikuwa hawaoni mafanikio yake.
Hela za mafuta na gesi huwez kufanya hivyo unless unataka kuua uchumi wa nchi. Lazima kuundwe mfuko maalum (sovereign wealth fund)
Botswana's impressive economic record has been built on a foundation of diamond mining, prudent fiscal policies, international financial and technical assistance, and a cautious foreign policy. It is rated the least corrupt country in Africa, according to an international corruption watchdog, Transparency International.Kumbe! Ina Botswana wenyewe waliwezaje?
Half London ndiyo hiyo.....
Tukiacha ufisadi kwa miaka kumi tunaweza kuwakuta na kuwapita
Waafrika kutoka nchi mbalimbali walioingia Angola kusaka maisha wanakiona cha mtema kuni, angalia video:
TANZANIA tuko nyuma kwa almost kila kitu isopokuwa KUUA ALBINO TU NDIYO NCHI INAONGOZA DUNIANI!,kazi kweli kweli.
Brutality in Angola. (warning: video inaonyesha ukatili)