Nilidhani red brigafe vijana kumbe wazee wa viroba na gongo.Hapo akisituliwa tu na kirungu anatapika vipande vya maini yote yameoza kwa viroba na gongo.
Naona mnataka kuanzisha makundi ya ujambazi, REDBRIGADE ni wahuni waliokata tamaa waliokotezwaokotezwa leo uwape kulinda ALBINO?
serikali kwa nini inakiacha hiki kikundi cha kigaidi
Kujilinda ni kosa? Wewe mbona unajilinda na kuilinda familia yako?Mbona si elewi tunakoelekea. Kila mtu akijilinda matokeo nini? Kuna nini kinachoendelea Tanzania?
Katiba ya CHADEMA ibara ya 7.6.4(h) imeruhusu Uundwaji wa Kurugenzi ya Ulinzi na Usalama ya chama na kikosi cha Ulinzi kinatambulika kama Brigedia Nyekundu(Red Brigade) na majukumu yake ya kulinda Mali ya chama ,Viongozi na Maslahi ya Chama yameainishwa
Katiba hii ni ile ambayo imepokelewa na kusajiliwa rasmi(kihalali/kisheria) kwenye Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
CCM watuambie Green Guard imesajiliwa wapi maana hata katiba yao haijaitambua Green Guard.Hao si wahuni na Magaidi tu?
Kila mtu ana haki ya kujilindaView attachment 231193View attachment 231194
Hii si sawa na rudia tena hii si sawa hata kidogo.
Mfumo wa siasa za vyama vingi tumeuiga. Hawa tuliowaiga mfano USA, Ujerunani, UK, nk.
Wana Vyama vya siasa venye nguvu kubwa sana tu, Tuulizane wote, je mlishaona vyama vyao vikiwa na majeshi yake kama hivi hapa kwetu?
Isis walianza kidogo kidogo kama hawa, mambo na matendo yao sasa hakuna asiye ya jua.
Mimi na shindwa kuelewa, kwa nini vyombo vya dola visiaminike vikaachiwa hii kazi yake.
Huku kuto kuaminiana kukiachwa kukaendelea bila kupatiwa ufumbuzi/dawa, kutageuza vikundi hivi vije kuwa majeshi rasmi ya vyama. Ni suala la muda tu.